Wahadhiri Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) wagoma kusimamia Mitihani ya mwisho wa muhula

FikraPevu

JF-Expert Member
Jan 2, 2010
304
236
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamegoma kusimamia mitihani ya mwisho wa muhula iliyokuwa ifanywe na wanafunzi wa chuo hicho kuanzia leo wakidai malipo yao ya muhula uliopita yaweze kukamilishwa mara moja ili kuendelea na kazi.

Aidha, baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa tatu ambao walitegemewa kufanya mitihani ya kumaliza Elimu ya Juu chuoni hapo wamelalamikia mgomo huo kwani wameathirika kutokana na maandalizi waliyokuwa wamefanya kuvurugika na kushindwa kupata muafaka wa sakata hilo.

Mwandishi wa FikraPevu ameshuhudia wanafunzi wa chuo hicho leo Juni 16, 2014 wakirandaranda katika maeneo tofauti ya chuo hicho kufuatila kushindwa kupata muafaka wa kufanya mitihani yao ikiwemo wanafunzi wa Kitivo cha Sheria upande wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza.


Endelea kusoma zaidi => Wahadhiri Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) wagoma kusimamia Mitihani ya mwisho wa muhula
 
Kosa ni la wanafunzi hapo ama serikari, ninge elewa iwapo wangefungasha virago na kurudi majumbani chuo kifungwe mpaka watakapo lipwa.

Lakini kitendo cha kugomea kusimamia mitihani ya wanafunzi ilihali bado wapo chuo doesnt make sense at all. Maana mwanafunzi ahusiki na malipo yao na pengine kuwatwisha vijana nyongeza ya mzigo wa gharama za maisha ambazo awajazipangia, by the time suluhu imepatikana umesha wa stress vijana wa watu pengine wengine nauli wameshakula au wamelala njaa.

Sasa ndio wahadhiri gani wasioweza kufikiria the other side ya mgomo wao na impact kwa wanafunzi wasio na hatia.
 
Kosa ni la wanafunzi hapo ama serikari, ninge elewa iwapo wangefungasha virago na kurudi majumbani chuo kifungwe mpaka watakapo lipwa.

Lakini kitendo cha kugomea kusimamia mitihani ya wanafunzi ilihali bado wapo chuo doesnt make sense at all. Maana mwanafunzi ahusiki na malipo yao na pengine kuwatwisha vijana nyongeza ya mzigo wa gharama za maisha ambazo awajazipangia, by the time suluhu imepatikana umesha wa stress vijana wa watu pengine wengine nauli wameshakula au wamelala njaa.

Sasa ndio wahadhiri gani wasioweza kufikiria the other side ya mgomo wao na impact kwa wanafunzi wasio na hatia.

naona unatoa maoni ambayo hayaendani na madai

swali la kujiuliza hivi kwa nini miaka ya karibuni migomo imezidi.... ni kweli hela hakuna .... kwa nini utaratibu wa malipo ni usimbufu tu?

mimi ushauri wangu ... quality is better than quantity .... ajiri watu wachache unaoweza kuwalipa vizuri na kwa wakati, a contract is a contract kila mtu atimize wajibu wake! si walimu tu wafanye kazi halafu wasilipwe, wao nao wana familia zao zinazowategemea ... si ajabu wamekopa kwa riba ili kutimiza mahitaji yao ya haraka huku serikali ikija kuwalipa imechelewa haiongezi hata senti tano
 
Kosa ni la wanafunzi hapo ama serikari, ninge elewa iwapo wangefungasha virago na kurudi majumbani chuo kifungwe mpaka watakapo lipwa.

Lakini kitendo cha kugomea kusimamia mitihani ya wanafunzi ilihali bado wapo chuo doesnt make sense at all. Maana mwanafunzi ahusiki na malipo yao na pengine kuwatwisha vijana nyongeza ya mzigo wa gharama za maisha ambazo awajazipangia, by the time suluhu imepatikana umesha wa stress vijana wa watu pengine wengine nauli wameshakula au wamelala njaa.

Sasa ndio wahadhiri gani wasioweza kufikiria the other side ya mgomo wao na impact kwa wanafunzi wasio na hatia.

kama nimemuelewa mleta mada,Wahadhiri wamegoma,maana muhula ulipoita hawajalipwa posho ya usimamizi wa mtihan,sasa wamegoma muda muafaka kwani wanataraj kufanya kazi ileile,,,,,wasingegoma wakat mwingine wowote,hata walim hugoma kuingia class,kuishinikiza serikali,wanafunz hawahusiki na mgomo ila wataathirika,
 
naona unatoa maoni ambayo hayaendani na madai

swali la kujiuliza hivi kwa nini miaka ya karibuni migomo imezidi.... ni kweli hela hakuna .... kwa nini utaratibu wa malipo ni usimbufu tu?

mimi ushauri wangu ... quality is better than quantity .... ajiri watu wachache unaoweza kuwalipa vizuri na kwa wakati, a contract is a contract kila mtu atimize wajibu wake! si walimu tu wafanye kazi halafu wasilipwe, wao nao wana familia zao zinazowategemea ... si ajabu wamekopa kwa riba ili kutimiza mahitaji yao ya haraka huku serikali ikija kuwalipa imechelewa haiongezi hata senti tano

Unless labda unajua uwingi upo wapi na wapi wapunguze sawa, swala la elimu ambapo bado walimu wanahitajika kupitia mipango ya kimkakati ya muda mrefu; whereby by the agenda ni kuongeza participants kweye elimu sidhani kama kuna wingi wa walimu hao kwa sasa. Na kama kuna nyongeza ni bonus maana mashule au vyuo vitakapo ongezeka already we have an experienced army of teachers to relocate, either way they still need to be used elsewhere in the meanwhile.

Kuna sehemu ambazo zinaendana na ajira za mikataba lakini si kwa walimu wakaida, walimu wakuu sawa. Maana hawa unaweza kuwapa targets mwakani tunataka kuona matokeo haya umeshindwa kazi ciao. Lakini mwalimu wa wakaida unamwekea vipi contract?

Nachokubali kwenye maoni yako huu mchezo wa serikari kuchelewesha malipo ya walimu si sawa, saa zingine wakiulizwa na wao watasema sijui tumeshapeleka kwa chombo husika wao nao ndio wamechelewesha. Sijaelewa vizuri utaratibu wa fungu la mishahara unavyozunguka lakini apart from the government being broke now and then kwenye sector ya elimu kuna too many bodies that add up to the delay of payments.

Mwisho wa siku ni kurekebisha pia administration procedures, kama kuna vitengo vya kupunguzwa ni kwenye wizara za serikari (at times you feel there way too many bodies, that need joint up) na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima including bunge la katiba, enough of this tafrija za raisi, wabunge kuamua kujipongeza kila wakijisikia wawapo dodoma kwa kipindi kirefu, udhibiti wa matumizi ya pesa za umma (kama wapo serious as they have made to believe kwenye hotuba ya waziri Mukya) na watajikuta mishahara wanaimudu tu au pesa za miradi ya maendeleo zinaenda mbali zaidi as intended.

Lakini si sawa kuchelewa kwa malipo ya walimu iwe adhabu kwa wanafunzi intentionally, sidhani kama serikari inakereka sana labda wazazi na wanafunzi hapa ndio wanakuwa victims of this walkout.
 
Rahis sharobaro, msanii, yooo yooo meeen, where iz ma Nigger Diamond?
Nchi kama imekwama mtajiju, hataki stress
 
kama nimemuelewa mleta mada,Wahadhiri wamegoma,maana muhula ulipoita hawajalipwa posho ya usimamizi wa mtihan,sasa wamegoma muda muafaka kwani wanataraj kufanya kazi ileile,,,,,wasingegoma wakat mwingine wowote,hata walim hugoma kuingia class,kuishinikiza serikali,wanafunz hawahusiki na mgomo ila wataathirika,
Kama ndio hivyo ndio kabisa, walimu wana representative body ya maslahi yao. Kuna sehemu zingine lazima watu wajifunze wanapokuwa members wa interest group na wanachangia. Kuna umuhimu wa hao majamaa kufuatilia maslahi yao kwa karibu as in lobbing regularly kwa niaba zao, wanajadili matatizo yao mara kwa mara na serikari etc to do with pressure activities.

Sasa tena kama swala hili lilitokea mwaka jana na mpaka leo hakuna suluhu ingekuwa wapo vocal na kutoa demand zao mapema, leo watu wasingeshangaa na serikari ingekuwa inachukuwa lawama from all corners of the stakeholders.

Lakini kitendo cha kukaa kimya maana yake wahusika walishindwa kutoa pressure za awali including buying newspaper columns, radio au hata TV ili jamii iwe upande wao wa tatizo. Uzembe wao wenyewe sasa wanaona hasira ziende kuharibu matayarisho ya mitiani ya vijana that is unfair reasoning on their part because their representatives also played apart in failing to pressure the government in the first place.
 
Unless labda unajua uwingi upo wapi na wapi wapunguze sawa, swala la elimu ambapo bado walimu wanahitajika kupitia mipango ya kimkakati ya muda mrefu; whereby by the agenda ni kuongeza participants kweye elimu sidhani kama kuna wingi wa walimu hao kwa sasa. Na kama kuna nyongeza ni bonus maana mashule au vyuo vitakapo ongezeka already we have an experienced army of teachers to relocate, either way they still need to be used elsewhere in the meanwhile.

Kuna sehemu ambazo zinaendana na ajira za mikataba lakini si kwa walimu wakaida, walimu wakuu sawa. Maana hawa unaweza kuwapa targets mwakani tunataka kuona matokeo haya umeshindwa kazi ciao. Lakini mwalimu wa wakaida unamwekea vipi contract?

Nachokubali kwenye maoni yako huu mchezo wa serikari kuchelewesha malipo ya walimu si sawa, saa zingine wakiulizwa na wao watasema sijui tumeshapeleka kwa chombo husika wao nao ndio wamechelewesha. Sijaelewa vizuri utaratibu wa fungu la mishahara unavyozunguka lakini apart from the government being broke now and then kwenye sector ya elimu kuna too many bodies that add up to the delay of payments.

Mwisho wa siku ni kurekebisha pia administration procedures, kama kuna vitengo vya kupunguzwa ni kwenye wizara za serikari (at times you feel there way too many bodies, that need joint up) na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima including bunge la katiba, enough of this tafrija za raisi, wabunge kuamua kujipongeza kila wakijisikia wawapo dodoma kwa kipindi kirefu, udhibiti wa matumizi ya pesa za umma (kama wapo serious as they have made to believe kwenye hotuba ya waziri Mukya) na watajikuta mishahara wanaimudu tu au pesa za miradi ya maendeleo zinaenda mbali zaidi as intended.

Lakini si sawa kuchelewa kwa malipo ya walimu iwe adhabu kwa wanafunzi intentionally, sidhani kama serikari inakereka sana labda wazazi na wanafunzi hapa ndio wanakuwa victims of this walkout.

umeongea vitu vya maana sana

chanzo kingine cha hii migomo kwa maoni yangu ni ukosefu wa taarifa sahihi kwa wahusika, utaratibu mbovu wa hayo malipo na mwisho kabisa ambalo ndio kubwa wanaoharibu au kuchelewesha haya malipo kwa makusudi kwa nini hawachukuliwi hatua ambazo kila mtu anaona? mfano tumesikia sana watu wamekula posho za wengine, etc.ila adhabu ni kuhamishwa kituo au kusimamishwa kazi na mchezo umeisha....wangekua wanaochelewesha kwa makusudi wanafukuzwa kazi na wanaokula hizi pesa wanafungwa, hii migomo ingepungua kama si kuisha kabisa

ni kweli wanaoumia ni wananchi wa kawaida na hii migomo .... tatizo ni kwamba hizi huduma zinawahusu wao moja kwa moja .... wakisema wasigome ili wananchi wasiumie, maslahi yao wala hawatakaa wayapate kwa uhuni wa wajanja wachache ndani.ya serikali

it is so sad nchi imefikia kuendeshwa kwa migomo
 
Kama ndio hivyo ndio kabisa, walimu wana representative body ya maslahi yao. Kuna sehemu zingine lazima watu wajifunze wanapokuwa members wa interest group na wanachangia. Kuna umuhimu wa hao majamaa kufuatilia maslahi yao kwa karibu as in lobbing regularly kwa niaba zao, wanajadili matatizo yao mara kwa mara na serikari etc to do with pressure activities.

Sasa tena kama swala hili lilitokea mwaka jana na mpaka leo hakuna suluhu ingekuwa wapo vocal na kutoa demand zao mapema, leo watu wasingeshangaa na serikari ingekuwa inachukuwa lawama from all corners of the stakeholders.

Lakini kitendo cha kukaa kimya maana yake wahusika walishindwa kutoa pressure za awali including buying newspaper columns, radio au hata TV ili jamii iwe upande wao wa tatizo. Uzembe wao wenyewe sasa wanaona hasira ziende kuharibu matayarisho ya mitiani ya vijana that is unfair reasoning on their part because their representatives also played apart in failing to pressure the government in the first place.

unaongea points za maana ila kwa tanzania yetu utaratibu wako huu hautafanya kazi .... mara ngapi tunaona viongozi wa hizo trade unions wanatishiwa.maisha au propaganda.za rais kuita na kuongea na wazee wa dar.es salaam ili kupotezea.madai halali ya wafanyakazi .... shida ya tanzania.ni priorities....hela ipooooo....mbona posho za wakubwa huwa hazichelewi? na saa ingine posho ya mtu mmoja kwa.siku tu inatosha lipa mwalimu kwa.mwezi!
 
umeongea vitu vya maana sana

chanzo kingine cha hii migomo kwa maoni yangu ni ukosefu wa taarifa sahihi kwa wahusika, utaratibu mbovu wa hayo malipo na mwisho kabisa ambalo ndio kubwa wanaoharibu au kuchelewesha haya malipo kwa makusudi kwa nini hawachukuliwi hatua ambazo kila mtu anaona? mfano tumesikia sana watu wamekula posho za wengine, etc.ila adhabu ni kuhamishwa kituo au kusimamishwa kazi na mchezo umeisha....wangekua wanaochelewesha kwa makusudi wanafukuzwa kazi na wanaokula hizi pesa wanafungwa, hii migomo ingepungua kama si kuisha kabisa

ni kweli wanaoumia ni wananchi wa kawaida na hii migomo .... tatizo ni kwamba hizi huduma zinawahusu wao moja kwa moja .... wakisema wasigome ili wananchi wasiumie, maslahi yao wala hawatakaa wayapate kwa uhuni wa wajanja wachache ndani.ya serikali

it is so sad nchi imefikia kuendeshwa kwa migomo
I have always said tatizo letu kubwa kama jamii ni mfumo wa checks na sheria, tulitarajia labda upinzani na wabunge wa serikari au hata wale representatives waliopo kwenye katiba mpya wangejikita na huko ili kupunguza tabia mbaya ulizozileta maana hamna asieona tatizo lipo hapo. Sasa kuna faida gani ya kuendelea na huu mchakato wa katiba kama shabaha za maendeleo na kuziba mianya ya wizi hatuna habari nazo we might as well allocate the funds elsewhere.
 
unaongea points za maana ila kwa tanzania yetu utaratibu wako huu hautafanya kazi .... mara ngapi tunaona viongozi wa hizo trade unions wanatishiwa.maisha au propaganda.za rais kuita na kuongea na wazee wa dar.es salaam ili kupotezea.madai halali ya wafanyakazi .... shida ya tanzania.ni priorities....hela ipooooo....mbona posho za wakubwa huwa hazichelewi? na saa ingine posho ya mtu mmoja kwa.siku tu inatosha lipa mwalimu kwa.mwezi!
Tatizo ni pale wanapotumiwa na wanasiasa kudai na kufanya pressure za kisiasa, kama kungekuwa na negotiators wazuri na wanatumia right pressuring methods watu wasingetolewa kucha, thats what i believe.
 
Tatizo ni pale wanapotumiwa na wanasiasa kudai na kufanya pressure za kisiasa, kama kungekuwa na negotiators wazuri na wanatumia right pressuring methods watu wasingetolewa kucha, thats what i believe.

maamuzi hata ya mahakama hayaheshimiwi....maamuzi ya bunge hayaheshimiwi


mfumo mbovu na katiba yenye kasoro unaouzungumzia ndio umefikisha nchi hapa .... hata hao wanasiasa wakihongwa hela kiasi wanawasahau wananchi wanaowategemea
 
maamuzi hata ya mahakama hayaheshimiwi....maamuzi ya bunge hayaheshimiwi


mfumo mbovu na katiba yenye kasoro unaouzungumzia ndio umefikisha nchi hapa .... hata hao wanasiasa wakihongwa hela kiasi wanawasahau wananchi wanaowategemea
Ilitakiwa ifike mwisho kupitia katiba mpya, maamuzi ya sheria hayaeshimiwi kivipi nani ana mamlaka zaidi ya kuzuia au chombo cha kuhakikisha sheira inaeshimiwa kipo wapi, kwengine muhusika anaingia jela au anafunguliwa mashtaka itakuwa ngumu sana kurekebisha mfumo mzima kama kuna mteuzi mmoja na hakuna mchakato sahihi.

Sheria na checks ni big problem, na hakuna maendeleo bila ya hivyo vitu viwili maana ndio main catalyst ya supervision. Vinginevyo inakuwa tia maji, tia maji tu ugali utaiva.
 
Ilitakiwa ifike mwisho kupitia katiba mpya, maamuzi ya sheria hayaeshimiwi kivipi nani ana mamlaka zaidi ya kuzuia au chombo cha kuhakikisha sheira inaeshimiwa kipo wapi, kwengine muhusika anaingia jela au anafunguliwa mashtaka itakuwa ngumu sana kurekebisha mfumo mzima kama kuna mteuzi mmoja na hakuna mchakato sahihi.

Sheria na checks ni big problem, na hakuna maendeleo bila ya hivyo vitu viwili maana ndio main catalyst ya supervision. Vinginevyo inakuwa tia maji, tia maji tu ugali utaiva.

uko sahihi

mfano mzuri huo mchakato mzima wa marekebisho ya katiba ... si unaona ulivyo wa ovyo .... watu waliotakiwa kuwa huru wameteuliwa na mtu mmoja .... wabunge wa wananchi na hao wa upendeleo umeona vituko vyao humo wanaongea vitu walivyokaririshwa na viongozi wachache kwa maslahi binafsi

solutions ziko chache sana kwa hali ya sasa

mgombea binafsi
katiba bora
bunge na.mahakama huru ambazo budgets zao ziko kikatiba sio kutegemea mgao chini ya wizara flani


mwisho ni kuongeza elimu hasa.ya uraia kwa wananchi watambue haki zao za msingi na wajibu wao hasa katika kuchagua viongozi bora
 
uko sahihi

mfano mzuri huo mchakato mzima wa marekebisho ya katiba ... si unaona ulivyo wa ovyo .... watu waliotakiwa kuwa huru wameteuliwa na mtu mmoja .... wabunge wa wananchi na hao wa upendeleo umeona vituko vyao humo wanaongea vitu walivyokaririshwa na viongozi wachache kwa maslahi binafsi

solutions ziko chache sana kwa hali ya sasa

mgombea binafsi
katiba bora
bunge na.mahakama huru ambazo budgets zao ziko kikatiba sio kutegemea mgao chini ya wizara flani


mwisho ni kuongeza elimu hasa.ya uraia kwa wananchi watambue haki zao za msingi na wajibu wao hasa katika kuchagua viongozi bora
Ndio shabaha yenyewe hiyo, ila sidhani kama mgombea binafsi kwenye uraisi ndio solution kwenye representation i dont see why not, kwanza itapunguza the mushrooming of unnecessary political parties, na kupunguza janja ya kuchukua ruzuku kwa matumizi binafsi.
 
Back
Top Bottom