Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,710
Kama ulizani umesikia yote, si kweli
Chanzo: Chronicles Rw
UCHAMBUZI
Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani?
Tuanze hapa
Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye alitawala pwan yote na baadae muarabu wa oman akamfurusha na kuikalia pwani ya tanganyika! hata hivo ukomo wake haukuhusisha maeneo ya ndani ya Tanganyika
Ujerumani ndio mkoloni wa kwanza kukalia eneo hili na kuliita Koloni la ujerumani
Katika utawala wa mjerumani Rwanda na burundi zilikua Eneo la Tanganyika lililoitwa British East Africa kama inavoonikana kwenye raman.
Baada ya Vita ya kwanza Ujerumani ilipokonywa maeneo yake hivo Uingereza ilichukua eneo ambalo ujerumani mwaka 1920 ililikalia lakini haikuhusisha Rwanda na Burundi.
Hivo hakuna mahala sehemu yeyote ya tanganyika ishawai kuwa sehemu ya rwanda au burundi ila RWANDA NA BURUNDI zilikua sehemu ya tanganyika wakati wa utawala wa ujerumani mwaka tajwa hapo juu.
WAHA ni kabila la kibantu linalopatikana Tanzania wanaongea lugha ya Kiha ambacho kina husiana au kukalibiana na kirundi.
Mji mashuhuli kwenye historia ya waha ni ujiji lakini pia Kasuru.
Kiufupi Waha wanapatikana Tanzania kiasili ingawa kilugha wanaweza kuwa wanaingiliana na taifa jirani.
Rwanda na Burundi hamna Kabila la waha hivo hawana kitovu chochote au chimbuko la hizo nchi labda tu kwa kuhamia na kuomba uraia
View attachment 2811177
View attachment 2811180
Chanzo: Chronicles Rw
UCHAMBUZI
Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani?
Tuanze hapa
Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye alitawala pwan yote na baadae muarabu wa oman akamfurusha na kuikalia pwani ya tanganyika! hata hivo ukomo wake haukuhusisha maeneo ya ndani ya Tanganyika
Ujerumani ndio mkoloni wa kwanza kukalia eneo hili na kuliita Koloni la ujerumani
Katika utawala wa mjerumani Rwanda na burundi zilikua Eneo la Tanganyika lililoitwa British East Africa kama inavoonikana kwenye raman.
Baada ya Vita ya kwanza Ujerumani ilipokonywa maeneo yake hivo Uingereza ilichukua eneo ambalo ujerumani mwaka 1920 ililikalia lakini haikuhusisha Rwanda na Burundi.
Hivo hakuna mahala sehemu yeyote ya tanganyika ishawai kuwa sehemu ya rwanda au burundi ila RWANDA NA BURUNDI zilikua sehemu ya tanganyika wakati wa utawala wa ujerumani mwaka tajwa hapo juu.
WAHA ni kabila la kibantu linalopatikana Tanzania wanaongea lugha ya Kiha ambacho kina husiana au kukalibiana na kirundi.
Mji mashuhuli kwenye historia ya waha ni ujiji lakini pia Kasuru.
Kiufupi Waha wanapatikana Tanzania kiasili ingawa kilugha wanaweza kuwa wanaingiliana na taifa jirani.
Rwanda na Burundi hamna Kabila la waha hivo hawana kitovu chochote au chimbuko la hizo nchi labda tu kwa kuhamia na kuomba uraia
View attachment 2811177
View attachment 2811180