Wagonjwa Muhimbili walia adha ya mgomo

Wagonjwa Muhimbili walia adha ya mgomo

Kazi ipo.Ni masikitiko makubwa sana, watanzania wanakufa serikali inaangalia tu.Shame on you CCM and your government.The deaths of these people will not go in vain
 
Wakati mwingine ukifikiri vizuri huchelei kuwaona hawa viongozi wa Tanganyika kama mabumunda, mataahira na majuha flani, kweli kabisa hawaoni umuhimu wa raia wa nchi hii, wanawakomoa madaktari au wananchi.
Mbona kila anaekuwa kiongozi hujiona Mungu-mtu?
Gharama za kutalii kila uchwao jamaa wanazo lakini zakufanya mambo ya msingi hawana

nchi hi inaongozwa na mafisi.afadhali tuandae mbwa tumfundishe uongozi atuongoze
 
Mbona tuna FFU wengi sana Tanzania, si wawape makoti meupe wakawatibu wagonjwa? au FFU hawawezi kufanya kila kitu?
 
nimeangalia tele sasa hivi.....manesi muhimbili nao wanaanza kugoma kuwa support madaktari.......keep it up docs......Pinda aende sasa kuwatibu wagonjwa ....godamn it.....
To all docs...together you will always stand....
 
Hii inatia uchungu kwa kweli.....
 
Mbona tuna FFU wengi sana Tanzania, si wawape makoti meupe wakawatibu wagonjwa? au FFU hawawezi kufanya kila kitu?

Sasa itabidi na madaktari waende lindoni wakati FFU wakivalishwa makoti wakahudumie mahosptalini. Ninaomba mungu na walimu nao wagome wabaki majumbani mwao ili wajue ya kuwa kupigiana makelele sio kuzuri.
 
Back
Top Bottom