The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
Huu ni msimu wa mavuno kwa waganga wengi kama jadi ya watia wenu uamini huwezi pita bila babu,watu wameliwa pesa zao na majina hayajarudi huku wakiaminishwa.
Sio fair mganga unampa uhakika mtia nia kwamba atapata ubunge then anakatwa jina.
Sio fair mganga unampa uhakika mtia nia kwamba atapata ubunge then anakatwa jina.