Waganda watunga wimbo wa kumsifu Dr. Magufuli

Waganda watunga wimbo wa kumsifu Dr. Magufuli

Kama ukitumia jicho la tatu utagundua kuwa wanafanya hivi kwa lengo la Kumn'gon'ga M7.
Mkuu M7 alishasemaga anayetaka Uraisi sharti aingie Msituni kama alivyofanya yeye!
 
umesahau hao uliowataja ni wabinafsi lakini sifa ya wasukuma ni wachapakazi na wanaotenda haki na kua na huruma na upendo ndo kinachomfanya magufuri afanye yote hayo ila sio ubahili pia hao wapale sio wabahiri ni wachoyo ndio maana unaona waponhivyo walivyo


asante kamanda... sisi wasukuma kwakweli ni watu wema sana...wachagga na wahaya wangefuata tabia zetu na wakaachana na ubaguzi wa aina yyte ule..wapale wenyewe wachoyo, lakin kidogo wanakauwafazali
 
Back
Top Bottom