Ngoja application zianze kumiminika, Your Inbox Will Be Full.natamani kuona inafananaje hiyo makitu ya mkono wa sweta, cjawahi ona, lol! it must b funny, khaaaaaa!
Isee, shughuli inafanyika katikati ya muji, ee bwana, si mchezo
A man is forcibly circumcised in Mbale, Uganda (wenyewe huita Embalu)
Itakuwa mademu wamepiga kibuti sana kwa mkono wa sweta, atlast akaamua kufanya kweli
Kweli hii ni nooumaaa! Hivi Mtambuzi, nimefikiria kipuuzi tu, je circumcision ni lazima? Maana nafahamu kuna makabila yenye utaratibu wa kutokufanya hiyo kitu. Na hofu huyo jamaa asije akawashtaki hao waliomshughulikia kwenye tume ya haki za binadamu! :wacko:
Maana hata kama kitendo chenyewe ni muhimu kwa usalama wa afya yake, bado kimefanyika katika mazingira ya kikatili na udhalilishaji mkubwa. Wangejaribu kuheshimu umri alionao na kumtunzia heshima na utu wake, na siyo kumfanyia hadharani hivi!
Kicheko ! hapo jamaa anagugumia kwa maumivu' lakini mwisho wa siku ataona manufaa yake na atajilaumu kwanini alichelewa kuingia katika ''huo uliwengu'' mpya.Manake sasa 'less energy full pleasure!'
A man is forcibly circumcised in Mbale, Uganda (wenyewe huita Embalu)
No, you are quite wrong!! Circumcision = less pleasure!
Gwe baasaze embalu ku mpaka nga takyategeera olwobulumi
Ngoma bado mbichi mkuu...................!