Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo Kasheshe kweli

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo

1198.jpg


Wafungwa 480 wa Taliban nchini Afghanistan wametoroka kupitia kwenye kishimo hichi kilichochimbwa na wanamgambo wa Taliban kwaajili ya kuwatorosha wanamgambo wao waliotupwa jela na serikali ya Afghanistan.


1197.jpg


Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo Hiki



1196.jpg


Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo Hiki


1195.jpg


Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo Hiki


1194.jpg


Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo Hiki


1193.jpg


Wafungwa 480 Watoroka Kupitia Kwenye Kishimo Hiki
 
Hapa Bongo iliwahi tokea, jamaa alifanikiwa kuingia na umma (fork) na akachimba hadi likatokea tundu wakasepa
 
Kishimo au shimo hilo?

Hapo ndio utajuwa kuwa kuna collaboration. Mchanga waliochimba hapo waliuficha wapi?

Ulidhani walikuwa wanachimba tuta, mchanga unatafutiwa sehemu ambapo mtu hawezi kuhisi halafu shimo linawekwa makaratasi lisionekane
 
Kishimo au shimo hilo?

Hapo ndio utajuwa kuwa kuna collaboration. Mchanga waliochimba hapo waliuficha wapi?
Inteligence ya Pakistan ndio ilikuwa inamuhifadhi Osama Bin Laden kwahiyo hata kwenye hili no wonder askari wa hilo gereza wanahusika na huo mchoro.

Michanga sio tatizo wanaweza wakawa wanauweka mifukoni mwao kila siku na kuimwaga nje wakati wakitoka, maana plan kama hii huwa haikamili kwa siku moja, mnaweza mkatumia hata mwezi mzima ili kufanikisha hilo.
 
mchanga upo mwanzo wa shimo sababu walianza kuchimba kutokea nje ya gererza kuja gerezani. walikuwa wanatumia vipimo wanajua kabisa mita mia tutatokea wapi. safi sana. mia
 
hii habari ina kama mwaka, tatizo ni nini, uwa hatuangalii channels za nje au? ni kwamba wataliban walichimba shimo umbali wa mita 300 kuelekea gerezani kuwaokoa wenzao
 
Kishimo au shimo hilo?

Hapo ndio utajuwa kuwa kuna collaboration. Mchanga waliochimba hapo waliuficha wapi?

Soma vizuri maelezo hapo juu "Wafungwa 480 wa Taliban nchini Afghanistan wametoroka kupitia kwenye kishimo hichi kilichochimbwa na wanamgambo wa Taliban kwaajili ya kuwatorosha wanamgambo wao waliotupwa jela na serikali ya Afghanistan". Utaona kuwa shimo lilichimbwa na wanamgambo walioko nje, sio wafungwa.

 
Huko kashindwa Mrusi ambae ni jirani yao. Hawa NATO nao wako mashakani, kushindwa kwao ni lazima hakuna ujanja.
 
Back
Top Bottom