Mbushuu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 2,172
- 3,392
Kama hutojali tupe madini ya kumtambua pure G.Sasilimia kubwa bongo gs ni cross, udipowafahamu kupigwa ni nje nje
Kama hutojali tupe madini ya kumtambua pure G.Sasilimia kubwa bongo gs ni cross, udipowafahamu kupigwa ni nje nje
Aisee mkuu umetishaMie nafugaga hii mijibwa ya uswazi (koko)
Yenyewe hayana gharama ya misosi maana yanakula chochote yanachokiona hata mavi ya walevi.!
Halafu wakiwa wengi huwa tunaua kisha tunawachuna na kuwapelekea wauza supu wa bar wao huchanganya na nyama ya mbuzi ili kuleta kale kaharufu ka kimbuzimbuzi kisha hupikwa supu na kuuziwa wateja.
Mie nafugaga hii mijibwa ya uswazi (koko)
Yenyewe hayana gharama ya misosi maana yanakula chochote yanachokiona hata mavi ya walevi.!
Halafu wakiwa wengi huwa tunaua kisha tunawachuna na kuwapelekea wauza supu wa bar wao huchanganya na nyama ya mbuzi ili kuleta kale kaharufu ka kimbuzimbuzi kisha hupikwa supu na kuuziwa wateja.
nimejaribu kuelezea hapo juuKama hutojali tupe madini ya kumtambua pure G.S
Kweli tumetofautiana. Unampendea nn sasa huyuDobermann.. Nampenda sana huyu mbwa. Umbo lake tuView attachment 887984View attachment 887985
Umbo lake mkuu. Na ukubwa wake.. Intimidatory Figure.Kweli tumetofautiana. Unampendea nn sasa huyu
ya Kingunge hayaNgoja niwape kisa kilimtokea family friend mmoja mwaka 2015 msimu wa xmass na mwaka mpya.
Jamaa alikuwa GS wako nane. Kawaida huwapa msosi kila siku usiku mida ya saa 4 baada ya watu wote kuingia ndani maana ni wakali mno. Na zoezi la chakula kuna shamba boy huwa ndie anawahudumia mbwa.
Sasa shamba boy xmass alienda kwao kula sikukuu. Na family friend yeye ni mtu wa tungi sana huwa anakesha baa na wajomba zangu.
Siku shamba boy alipoondoka jamaa akawa amelewa zake akarudi home akapitiwa akalala (mbwa hawakupewa chakula kama kawaida).
Akaamka asubuhi akaandaa msosi vizuri akafungulia banda la kwanza. (Amewagawa katika mabanda mawili wanne wanne).
Baada ya kufungua banda la kwanza mbwa mmoja akaanza kumkoromea kwa hasira sana kisha akamrudia, wale wengine watatu nao wakamrukia wakaanza kumrarua kwa hasira, wale wengine ndani nao wakapandwa na wazimu mpaka wakavunja banda wakaungana na wenzao.
Mke wa jamaa ni mayowe tu kwa dirishani anashuhudia mumuwe anavyotafunwa bila kuwa na lakufanya. Watoto vilio mpaka majirani wakasogea karibu.
Bahati nzuri kuna mtoto wa jirani ni rafiki wa shamba boy na mara nyingi wakiwa wanalisha mbwa wanakuwa wote hivyo wale mbwa wamemzoea sana.
Basi dogo ndio kuingia pale akawatuliza mbwa na jamaa kukimbizwa hospital ambapo alilazwa miezi mitatu akiwa hana fahamu.
Kusema ukweli yule jamaa kama angekuwa kapuku wala asingepona kwa shambulio lile. Pesa ilimuokoa.
Baada ya kurudi uraiani alikuwa amefungwa POP miguuni wala kutembea bila magongo hawezi. Aliwatandika risasi mbwa wote na mpaka sasa sijui kama anafuga tena.
Mbwa ni Loyal Friend kuliko hata binadamu lakini ni hatari sana pia.
Wafugaji tuzingatie Terms and Conditions
Thanks mkuu.nimejaribu kuelezea hapo juu
angalia hii picha.
1. maskio yamesimama na makubwa
2. miguu ya mbele mirefu
3. miguu ya nyuma mifupi imepinda
4. mkia mrefu kugusa chini
5. rangi kahawia, kaki tumboni na mgongoni mweusi
6. mdomo mrefuView attachment 888011
Kwenye rangi kuna variations mkuunimejaribu kuelezea hapo juu
angalia hii picha.
1. maskio yamesimama na makubwa
2. miguu ya mbele mirefu
3. miguu ya nyuma mifupi imepinda
4. mkia mrefu kugusa chini
5. rangi kahawia, kaki tumboni na mgongoni mweusi
6. mdomo mrefuView attachment 888011
ni kweli mkuu lkn hatuwezi kufuga ng'ombe wote au mbwa.Wakuu fugeni ng'ombe mpate kula nyama na masiwa
inaonekana unapenda hizi breed za huskySerbian HuskyView attachment 887982