Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Mkuu bongo kuna mpaka tibetan mastiff.
Hao Kangal na Caucasian wapo toka 2017 kipindi icho namimi nafuga.

Yupo mtu mmoja anaitwa Nuhu, yuko Kigamboni. Ana page instagram nadhani ..! yupo yule Ras Arusha alabai anao.

Bongo kuna breed nyingi sana, watu wamedare kweli, wale St bernard na jamii nyingi za large breed zipo mkuu.


Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
aisee watu wana mawe, tibetan mastiff si $50,000....

labda sio pedigree nzuri
 
aisee watu wana mawe, tibetan mastiff si $50,000....

labda sio pedigree nzuri
Hapo kwenye pedigree ndo sina uhakika mkuu.
Watu wana mawe sana asee, kuna breeders bongo wako njema sana na wanaruhusu kutembea uone na ukitaka pedigree papers unaonyeshwa.. !!

Sisi wengine machizi mbwa tumetembelea mabreeders mpaka Mwanza huko asee.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Nina German shepherd wangu nyama huwa naenda Machinjoni kuwachukulia ,hawali kitu kingine zaidi ya nyama na maziwa

Ofcoz nikila ganja zangu nao huwa wanavuta ,kila jumapili nawatia Red wine glass basi burudani kabisa.

Napenda mbwa sana kiasi kwamba wananipa faraja
Duh! Wanavuta bangi,na hakika wanalewa. Sasa, ni walinzi,viburudisho au?
 
Umeshawahi kukutana na hii mbwa inaitwa XL Bully...
Achana kabisa unaweza kujikojolea..
Hii serikali ya UK, imepiga marufuku....
Hii Mbwa imetengenezwa, sio ya asili, ni SHETANI....

1699919294716.png

1699919351833.png
 
Hapo kwenye pedigree ndo sina uhakika mkuu.
Watu wana mawe sana asee, kuna breeders bongo wako njema sana na wanaruhusu kutembea uone na ukitaka pedigree papers unaonyeshwa.. !!

Sisi wengine machizi mbwa tumetembelea mabreeders mpaka Mwanza huko asee.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa anaitwa Rasta, jamaa ana mbwa wazuri sana
 
Back
Top Bottom