- Thread starter
- #61
Kaz Kweli Kweli.Mpango anachunguzwa na Jeshi ili arejeshwe kwao Gitega,Katelefone ni Muongo na Mlaghai hapo labda Lissu ambae huwa habubuji wala kuremba maneno
Kaz Kweli Kweli.Mpango anachunguzwa na Jeshi ili arejeshwe kwao Gitega,Katelefone ni Muongo na Mlaghai hapo labda Lissu ambae huwa habubuji wala kuremba maneno
This is 2023 ,wewe mada inasema 2000.Maoni Yako yanaheshimiwa.
Ingawa Mimi nijuavyo, kunguni au kupe Huwa habagui, hachagui, kwake Damu ndo kitu muhimu.
Akipenya yeyote kati ya hao, lazima utaendeleza mapambio.
Huyo uliyemuwekea tick, naye hafai isipokuwa anao unafuu ukilinganisha na waliotajwa au waliopo ndani ya chama chake.Philip Mpango hafai, hii nchi haitaki kuongozwa na watu wa namna yake, ni mpole mno.
LISSU ni mwanaharakati, hafai kuwa raisi.
GWAJIMA hafai hata kidogo, kwanza umetumia vigezo gani kumuweka hapo?
KASSIM✅️
Mods wamefuta dots.This is 2023 ,wewe mada inasema 2000.
Wapenye wapi Sasa?
Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya ya na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Hao ni chawa tuu hakuna anaeweza kuthubutu kunyanyua mdomo Kwa SSH.Mods wamefuta dots,
Ni 2020V.
Huyo miguu yake size ya mtoto,.ataburuta viatu, wacha akue kwanza.Lissu professor wa upotoshaji tutauzwa asubuhi tu,Twende na Makonda
Ndio, 100%.Mkuu ni kwamba huyo JPM ndio SU Unit ya urais hapa nchini ama?
Huyo simbach..... Kigezo Cha ndumba kingekuwamo,Muweke simbachawene kwenye hiyo list,au ulijua ni feb marope nini!
1. Bashiru Ally Kakurwa1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Kassim Majaliwa na Philip Mpango wamo tayari kwenye list muhimu, top 4.1. Bashiru Ally Kakurwa
2. Humphrey Polepole
3. Abel Makubi
4. Luhaga Mpina
5. Kassim Majaliwa
6. Philip Mpango
Katelefoni ni ntu wa diliHapo umepatia mmoja tu Kassim Majaliwa.
Hao wengine ni wachumia tumbo tu
Eti fisichaweneGwajima wa nini sasa..?
PM sio raia wa nchi yetu.
Saivi kiukweli, labda Simbachawene tu.
Ushetani haujadiliwi hapa. Sifa ni nne zimeainishwa hapo juu. 1.Uzalendo, 2. Maono, 3. Uchapakazi, 3.Uthubutu.We kwl bwege, viatu vya JPM nani anataka kuvivaa? Yule shetani alituharibia nchi yetu. Mama ndio anaiponya kwa kutumia 4Rs. Usitukumbushe ushetani wa yule mfu wenu. Mungu fundi ameamua ugomvi tumshukuru Mungu.
Huyo kwao huko dom anaogopeka sababu ya babake, kwenye mambo Fulani ya kamati!!😀Eti fisichawene
Urais mnaushusha hadhi sana
Huyo huyo.Gwajiboy huyuhuyu?
4. JOSEPHAT GWAJIMA.