cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Nchi imeingia aibu ambayo kwa namna moja au nyingine wanadau maendeleo hatawataunga mkono misaada na mikopo kwa Tanzania
Ili kuondoa aibu hii nafasi 10 za Rais wafuatao wanaweza wakateuliwa kuwa wabunge kuwakilisha upinzani bungeni
Tena kati ya wabunge 10 saba watakuwa wa upinzani
1. John Shibuda
2. Queen Simbeya
3. Augostino Mrema
4. Na wale wa vyama vidogo utaongezea
Time will tell
Ili kuondoa aibu hii nafasi 10 za Rais wafuatao wanaweza wakateuliwa kuwa wabunge kuwakilisha upinzani bungeni
Tena kati ya wabunge 10 saba watakuwa wa upinzani
1. John Shibuda
2. Queen Simbeya
3. Augostino Mrema
4. Na wale wa vyama vidogo utaongezea
Time will tell