MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,090
- 22,374
mfanyakazi gani huyo anapokea mshahara wa 200000? Labda huyo atakuwa ni kijana mwalimu wa kujitole shule ya private. Maisha yamepanda sana miaka hii huo si mshahara bali ni posho ya chai tu1. Kama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule.
2. Wale wote ambao mwezi December kazini kwao kulitangazwa kuwa ni likizo lakini watabaki wafanyakazi wachache kwa ajili ya dharura. Kama wewe ni miongoni mwa hao wafanyakazi tafadhali kaongeze elimi. Hata ushauri wa kufanya kazi kwa bidii haukufai.
3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.
Naiomba hiyo adana sisi wenye shule sijui elimu na ni jobless πturudi pia kuongeza elimu
True.Kuna mwenye shule nzuri lakini hata hiyo sehemu tu ya kulipwa pesa mkononi, ambayo anaweza kuiweka kwenye mfuko wa shati na ikatosha hana na anaitafuta kwa mbinde!! Acha tu kuwa uyaone!!
Babu weeeKama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule
Watu wana masters wanaendesha bodaboda halafu eti ongeza elimu. Elimu ya nyoko, hao waliosoma mmeshindwa kuwaajiri.1. Kama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule.
2. Wale wote ambao mwezi December kazini kwao kulitangazwa kuwa ni likizo lakini watabaki wafanyakazi wachache kwa ajili ya dharura. Kama wewe ni miongoni mwa hao wafanyakazi tafadhali kaongeze elimi. Hata ushauri wa kufanya kazi kwa bidii haukufai.
3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.
Wenye elimu wanafanya biashara au kazi zao1. Kama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule.
2. Wale wote ambao mwezi December kazini kwao kulitangazwa kuwa ni likizo lakini watabaki wafanyakazi wachache kwa ajili ya dharura. Kama wewe ni miongoni mwa hao wafanyakazi tafadhali kaongeze elimi. Hata ushauri wa kufanya kazi kwa bidii haukufai.
3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.