Wazimwagie tindikali na roho za wanaArumeru ili zibadili mawazo!
Wazimwagie tindikali na roho za wanaArumeru ili zibadili mawazo!
Unaliwa pande zote!! watamu sanaWewe jamaa unaamini kila upuuzi unaoletwa na CDM wenzekao nani kamwagiwa tindikali?
Unaliwa pande zote!! watamu sana
tukielekea uchaguzi wa tarehe 1.4.12 ccm yaanza umafya ya mwagia tindikali na kungoa bendera zote za chadema hapa usa river...kwa sasa vijana wako hospital na bendera zinaendelea kupandishwa upya
Uongo na uzushi mwingine ni tatizo kubwa sana la magwanda.