Jitahidi kusimama katikati na uwe mkweli, wanaotoa kauli tata tunawasikia na kuwaona kutoka pande zote BWM aliziasisi lakini Wasira akazipalilia na kutia mbolea, kwanini zisistawi?Hivi kama umetulia mwingine atakujaje kukufanyia maafa makubwa kama haya? Sishabikii watu kuumizwa bali nawaasa viongozi wachadema wahubiri amani na uvumilivu zaidi ya kauli za jazba jamani. Mwenzenu napata shida kumuhubiria mama yangu kwanini achague CDM na wala sio magamba yote hii ni kwasababu kila akiona CDM ni habari za vurugu, kwani kuwa kijana ndo kuwa mbabe? Embu rujirekebishe hawa wazazi wetu hawaelewi haya na hasa ukizingatia wao ndo wenye kadi za kupigia kura yangu ni ya Mwanza nateseka kupoteza hizi kura mbili jamani