Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Na wewe ni mtetezi wa M7,sivyo?CHADEMA HUYU HAPA CHADEMA AKIMPONDA MUSEVENI JUKWAA LA WAGANDA
Museveni kwisha habari yake, sasa ategemea Jeshi na Polisi tu
Huyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza. Akaanza Juhudi za kishetani za kupunguza miaka yake kwa kushrikiana na Maaskofu njaa , eti umri wake ulikosewa ! baadaye akaamua kuondoa vifungu vya...www.jamiiforums.com