Name calling. Ni awamu ipi tumekuwa na naibu waziri aliyeitwa wakudadavuwa?!..Wewe umekuwa mpaka NAIBU WAZIRI
This should never come from members of your calibre.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Name calling. Ni awamu ipi tumekuwa na naibu waziri aliyeitwa wakudadavuwa?!..Wewe umekuwa mpaka NAIBU WAZIRI
Ujinga mtupu.Ndugu zangu,
Kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kuisha tumeshuhudia jinsi wafuasi wa CHADEMA wanavyopambana katika harakati za kisiasa mitandani katika kila nchi duniani kipindi cha uchaguzi.
Baada ya saa moja kwa waganda kumaliza kupiga kura tumeshuhudia wafuasi wa CHADEMA nchini wakisambaza matokeo ya uchaguzi kutoka sehemu mbalimbali nchini Uganda.
Si Uganda tu, wafuasi wa CHADEMA walishiriki harakati za uchaguzi katika nchi ya Kenya, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Amerika, Afrika kusini, Urusi, Uingereza nk.
Nini haswa dhumuni la wanaharakati hawa kushiriki chaguzi hizo huku wakionesha hisia na ushabiki mkubwa kama vile kuna manufaa ya moja kwa moja wanayapata.
Nakaribisha mjadala usioumiza
Na wewe upunguze uhayawani na upunguani na siasa za kijinga!Punguza jazba
MhhhKamanda acha kutusingizia, tusio na vyama hatuna tabia ya kuingilia michakato ya uchaguzi kwenye nchi nyingine. Ni kinyume na maadili ya mahusiano ya kimataifa.
Walikuwa wanawaonya polisi na m7, hapa hawezi kumuonya hata DCEleza huo unafuu wa huko Uganda ni upi ambao umeizidi Nec (tz).
Huyu bibi ndiyo maana unaibu waziri uliota mbawaRangi
Rangi nyeupe hapa haikua na msaada, maana wakati wa kampeni Mfalme alisema wanawake weupe wakiwa mbele ya uso wake hana analolikataa.Huyu bibi ndiyo maana unaibu waziri uliota mbawa
Tulikuwa na maslahi gani wakati Kaburu anatawala South africa?????Ndugu zangu,
Kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kuisha tumeshuhudia jinsi wafuasi wa CHADEMA wanavyopambana katika harakati za kisiasa mitandani katika kila nchi duniani kipindi cha uchaguzi.
Baada ya saa moja kwa waganda kumaliza kupiga kura tumeshuhudia wafuasi wa CHADEMA nchini wakisambaza matokeo ya uchaguzi kutoka sehemu mbalimbali nchini Uganda.
Si Uganda tu, wafuasi wa CHADEMA walishiriki harakati za uchaguzi katika nchi ya Kenya, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Amerika, Afrika kusini, Urusi, Uingereza nk.
Nini haswa dhumuni la wanaharakati hawa kushiriki chaguzi hizo huku wakionesha hisia na ushabiki mkubwa kama vile kuna manufaa ya moja kwa moja wanayapata.
Nakaribisha mjadala usioumiza