Wafuasi wa CHADEMA wana maslahi gani na chaguzi nje ya Tanzania?

Ndugu zangu,

Kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kuisha tumeshuhudia jinsi wafuasi wa CHADEMA wanavyopambana katika harakati za kisiasa mitandani katika kila nchi duniani kipindi cha uchaguzi.

Baada ya saa moja kwa waganda kumaliza kupiga kura tumeshuhudia wafuasi wa CHADEMA nchini wakisambaza matokeo ya uchaguzi kutoka sehemu mbalimbali nchini Uganda.

Si Uganda tu, wafuasi wa CHADEMA walishiriki harakati za uchaguzi katika nchi ya Kenya, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Amerika, Afrika kusini, Urusi, Uingereza nk.

Nini haswa dhumuni la wanaharakati hawa kushiriki chaguzi hizo huku wakionesha hisia na ushabiki mkubwa kama vile kuna manufaa ya moja kwa moja wanayapata.

Nakaribisha mjadala usioumiza
Ujinga mtupu.
Wewe una maslahi gani a uchaguzi wa Marekani?
Kila siku macho kodo CNN!
 
Ndugu zangu,

Kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kuisha tumeshuhudia jinsi wafuasi wa CHADEMA wanavyopambana katika harakati za kisiasa mitandani katika kila nchi duniani kipindi cha uchaguzi.

Baada ya saa moja kwa waganda kumaliza kupiga kura tumeshuhudia wafuasi wa CHADEMA nchini wakisambaza matokeo ya uchaguzi kutoka sehemu mbalimbali nchini Uganda.

Si Uganda tu, wafuasi wa CHADEMA walishiriki harakati za uchaguzi katika nchi ya Kenya, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Amerika, Afrika kusini, Urusi, Uingereza nk.

Nini haswa dhumuni la wanaharakati hawa kushiriki chaguzi hizo huku wakionesha hisia na ushabiki mkubwa kama vile kuna manufaa ya moja kwa moja wanayapata.

Nakaribisha mjadala usioumiza
Tulikuwa na maslahi gani wakati Kaburu anatawala South africa?????
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom