Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
Kamanda ungejibu swali kwanza
Umekuja na marking scheme?
Kamanda ungejibu swali kwanza
Alialikwa na haikuwa kampeni kamanda
Umekuja na marking scheme?
..Jpm alikosea kuwepo pale.
Peleka utoto mbali.Jikite kwenye hoja
Peleka utoto mbali.
Mlipokuwa mnamtetea Trump juzi, nyie mnatokea jimbo gani Marekani?Wanatabia ya kutapatapa,awana pakushika.
Tunawaona humu jf, chadema wanajulikana na wasio chadema wanajulikana.Umejuaje kama ni wafuasi wa CHADEMA?
Huna kazi nyingine za kufanya?
Eleza huo unafuu wa huko Uganda ni upi ambao umeizidi Nec (tz).Tume ya Uganda kidogo ina nafuu kuliko hili tawi la CCM(NEC)
Tunawaona humu jf, chadema wanajulikana na wasio chadema wanajulikana.
Kuna wengine waliahidi kuhama nchi tundu asipokuwa rais, nadhani ndo Hawa akina Lema, mmawia, denooJ etc.
Nimemsikia Chagulanyi akilalamikia, pamoja na mambo mengine, kukosekana uwazi kwenye kuhesabu kura.Nimefurahi kuona wanavyohesabu kura kwa uwazi. Laiti tungekuwa hivyo.
Jiji la Chato! Hivi tayari ni Manispaa?Sasa si ukamuulize hayo maswali yeye au ulitaka asambaze picha za jiji la Chato?
Sio kila anayehudhuria mkutano wako ni shabiki wako
Kamanda acha kutusingizia, tusio na vyama hatuna tabia ya kuingilia michakato ya uchaguzi kwenye nchi nyingine. Ni kinyume na maadili ya mahusiano ya kimataifa.Umeandika ujinga kuna watu hawana vyama
Hivi wewe, kila ukiamka ni cdm, cdm, cdm as if walikuwa waume zako na Sasa wanekubwaga! Hivi huna habari kuwa huko ccm unakojificha wanaumiza na kuusugua bongo zao namna ya kuondoa changamoto ya vyumba vya madarasa na madawati kwa akili ya watoto wa nchi hii?Ndugu zangu,
Kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania kuisha tumeshuhudia jinsi wafuasi wa CHADEMA wanavyopambana katika harakati za kisiasa mitandani katika kila nchi duniani kipindi cha uchaguzi.
Baada ya saa moja kwa waganda kumaliza kupiga kura tumeshuhudia wafuasi wa CHADEMA nchini wakisambaza matokeo ya uchaguzi kutoka sehemu mbalimbali nchini Uganda.
Si Uganda tu, wafuasi wa CHADEMA walishiriki harakati za uchaguzi katika nchi ya Kenya, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Amerika, Afrika kusini, Urusi, Uingereza nk.
Nini haswa dhumuni la wanaharakati hawa kushiriki chaguzi hizo huku wakionesha hisia na ushabiki mkubwa kama vile kuna manufaa ya moja kwa moja wanayapata.
Nakaribisha mjadala usioumiza
..Wewe umekuwa mpaka NAIBU WAZIRI na bado hujui kwamba Magufuli[ akiwa waziri wa ujenzi wa Tz ] alifanya makosa kumpigia kampeni Raila Odinga? Magufuli na Eng.Kijazi wanafanya makosa sana kutowapa semina elekezi viongozi vijana wanaoteuliwa ktk nafasi mbalimbali.
Hivi wewe, kila ukiamka ni cdm, cdm, cdm as if walikuwa waume zako na Sasa wanekubwaga! Hivi huna habari kuwa huko ccm unakojificha wanaumiza na kuusugua bongo zao namna ya kuondoa changamoto ya vyumba vya madarasa na madawati kwa akili ya watoto wa nchi hii?
Wewe umekalia kuisema cdm huku ukijiweka pembeni kuchangia hata wazo tu kwa halmashauri yako, kata, Kijiji na hata shule ya jirani juu ya namna ya kutatua changamoto ya madawati na vyumba vya madarasa na vyoo badala ya kuingoja serikali! Uandikie Basi hata ubalozi wa marekani wakajenge choo kwenye shule ya Kijiji utokacho ili kujijengea heshima badala ya kuhangaika na cdm isiyosaidia chochote kwa Sasa!
Ccm, watu wa aina ya wakudadavua hawana msaada kwenu na ni moja ya wapinzani wakubwa wa serikali ya ccm wakijificha kwenye hoja za kitoto za kuichafua cdm ilihali Kuna changamoto za kuwawezesha na kuwapelekea wananchi maendeleo hasa madarasa na madawati mashuleni yanaendeleza siasa za kiduanzi na kuwachafua! Fukuzeni aina hii ya wanachama wakabweke mbele huko!