Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,154
Reaction score
831,823
q.jpg
kwanza niweke tahadhari ya picha! Baadhi zitakuwa zinatisha
Inteligensia ya imani ya dini ni dhana ya kushangaza mno, pengine baadhi ya maono na mitazamo yake vinaacha maswali mengi kuliko majibu
Mila na tamaduni pia vina mchango mkubwa kwenye haya mambo ya kiimani
Sisi wakati tukiwashangaa wanaochoma moto maiti, nao wanatushangaa kwakuwa kwao kuzika mfu kwa kumfukia ardhini ni kuinajisi ardhi, ni kuitia nuksi mikosi na balaa, kinachokufa kinapaswa kuteketezwa hii ni imani yao
2013-07-03_205318+-+Copy.png
lakini wakati ukishangaa hawa wanaochoma moto maiti kuna hawa ambao wao hawachomi wanasema ni kuharibu chakula ambacho kingewafaa wengine
Kwa imani yao ni kwamba uliweza kuishi kwakuwa kuna wanyama ulikula nyama yao na ikakuponya na njaa na afya ukapata
Kwahiyo unapokufa ni zamu ya nyama za mwili wako kutumika kulisha wengine, huzikwi wala huchomwi moto... Huku Afrika kuna kabila wao maiti hujengewa kichanja na kuachwa hapo iwe chakula cha wanyama, lakini kwa wengine huiandaa kabisa kwa kuikatakata
joejet_com_000559-42_tibetan-funeral_mini1.jpg
, zaidi kuna tamaduni nyingine maiti hulishwa kwa wanyama kwenye kusanyiko maalum
Gunsore_leopard_%28Somnapur_village%2C_Seoni_district%29.jpg

Mwanzoni mwa mada kuna picha ya tai wanakula mfu, hiyo ni Tibet na kwa imani yao hao tai ni malaika kwahiyo kwa kuwalisha mfu wanapata thawabu ....
Ukishangaa ya Musa bado hujaona ya firauni......
Kumbuka umekula nyama ngapi mpaka umri huu? Usipokuwa mbinafsi na mchoyo nawe utakubali mwili wako uwe chakula cha wengine utakapokufa!
 
Mkuu mshana jr we noma yaani unatupia Uzi wenye mazonge na mauza uza makuu mida mibovu kinoma yaani saa Tisa usiku mnene....ila umeua eti "inteligensia ya masuala ya dini" ahaaaa mkuu we homa sana, umenikumbusha mbali sana enzi za mkuu Kamanda suleiman KOVA Mzee wa habar za kiinteligensia.


Uzi mkali sana kwa wale wagumu roho ya paka ila wale roho ya sisimizi lazima watoke nduki na kuleta allegations zao za kulia lia hovyo.
By the way big up mkuu, ingawa umeangusha Uzi husika usiku mnene probably after finishing death meditation yako.

View attachment 492630kwanza niweke tahadhari ya picha! Baadhi zitakuwa zinatisha
Inteligensia ya imani ya dini ni dhana ya kushangaza mno, pengine baadhi ya maono na mitazamo yake vinaacha maswali mengi kuliko majibu
Mila na tamaduni pia vina mchango mkubwa kwenye haya mambo ya kiimani
Sisi wakati tukiwashangaa wanaochoma moto maiti, nao wanatushangaa kwakuwa kwao kuzika mfu kwa kumfukia ardhini ni kuinajisi ardhi, ni kuitia nuksi mikosi na balaa, kinachokufa kinapaswa kuteketezwa hii ni imani yaoView attachment 492632lakini wakati ukishangaa hawa wanaochoma moto maiti kuna hawa ambao wao hawachomi wanasema ni kuharibu chakula ambacho kingewafaa wengine
Kwa imani yao ni kwamba uliweza kuishi kwakuwa kuna wanyama ulikula nyama yao na ikakuponya na njaa na afya ukapata
Kwahiyo unapokufa ni zamu ya nyama za mwili wako kutumika kulisha wengine, huzikwi wala huchomwi moto... Huku Afrika kuna kabila wao maiti hujengewa kichanja na kuachwa hapo iwe chakula cha wanyama, lakini kwa wengine huiandaa kabisa kwa kuikatakataView attachment 492633 , zaidi kuna tamaduni nyingine maiti hulishwa kwa wanyama kwenye kusanyiko maalum View attachment 492634
Mwanzoni mwa mada kuna picha ya tai wanakula mfu, hiyo ni Tibet na kwa imani yao hao tai ni malaika kwahiyo kwa kuwalisha mfu wanapata thawabu ....
Ukishangaa ya Musa bado hujaona ya firauni......
Kumbuka umekula nyama ngapi mpaka umri huu? Usipokuwa mbinafsi na mchoyo nawe utakubali mwili wako uwe chakula cha wengine utakapokufa!
 
Mkuu mshana jr we noma yaani unatupia Uzi wenye mazonge na mauza uza makuu mida mibovu kinoma yaani saa Tisa usiku mnene....ahaaaa mkuu we homa sana,

Uzi mkali sana kea wale wagumu roho ya paka ila wale roho ya sisimizi lazima watoke nduki na kuleta allegations zao za kulia lina .
By the way big up mkuu, ingawa umeangusha Uzi husika usiku mnene probably after finishing death meditation yako.
Aisee Please usinikose kwenye mualiko wa Cremation ceremony ya the late sir Chande. ..
Unajua mida hii mind inakuwa very clear, japo waoga huita mida ya wanga....!
 
Ahahaaa mkuu umetisha sana.
Mida ya wababe hili. Walaini wote wamelala tumebaki infantry soldiers Wa front line ,
So unajua tena Platoon commanders wote washa kimbia mstari Wa mbele inabidi twende brigade commanders kutokea kikosi Maalumu (red Barret special force commandos).
Aisee Please usinikose kwenye mualiko wa Cremation ceremony ya the late sir Chande. ..
Unajua mida hii mind inakuwa very clear, japo waoga huita mida ya wanga....!
 
Ahaaaa ..kwahiyo mkuu mshana jr hiyo aya ya mwisho ndo ile ya kuwahi ukitaka kula sharti lazima na wewe uliwe.

Aisee wahenga waliosema "muosha huoshwa" hawakukosea aiseee. Maana huu Uzi wako umepita mle mle mkuu.
 
Dah
hiyo ya kuwapa wanyama maiti wale ndo naisikia leo,nilikua naona maajabu watu kuchoma maiti ila hili ni la firauni
 
Kuna hai sijui wa wapi wanakata paja ..wanajua kweli kuchagua steki
 
Ila nimeshangaa hao tai wanakula mpaka nywelee
 
Back
Top Bottom