LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mkuu! Hayo mahesabu ni sahihi kweli? Aibu kubwa jamani!$1000 x 1,600 = 1,600,000Tshs....???????
Mkuu! Hayo mahesabu ni sahihi kweli? Aibu kubwa jamani!$1000 x 1,600 = 1,600,000Tshs....???????
USD 1000 then Serikali imekaa kimya!!! I think bila CDM wangetuchukulia na wake zetu. Hivi hawaoni uchungu hawa watu au? Wabunge wa CCM wako pale kwa ajili ya nani? Mi nadhani wako kwa ajili ya Chama ila sio wananchi waliowatuma na kuwapeleka kule.....Yana Mwisho Haya.
Hili la USD 1000 nakataa CDM siyo wa kwanza kulizungumzia. Wanaokumbuka wakati wa kampeni 1995 Proffessor Lipumba alilizungumzia kwa uchungu sana wakati huo akifananisha kiwango hicho na mabeberu kumi ambayo mfugaji mdogo kabisa angeweza kulipa. Hata swala la Rada, Professor alishalizingumzia sana kwenye kampeni za 1995 na kuendea tatizo hakuwa na "mass support"
<br />Mkuu! Hayo mahesabu ni sahihi kweli? Aibu kubwa jamani!
<br />Halafu jamaa anaulizwa na kujibu kwa madaha kabisa <i><b>"Hata mimi sijui ni kwanini Tanzania tu masikini"</b></i>
Hii habari ya kodi ni ya kweli kabisa, aliesimamishwa (sio kufukuzwa) anaitwa Bw. Amani,$1000 x 1,600 = 1,600,000Tshs....???????
<br /><br /><br />
<br /><br />
yaani kama kuna mtanzania mtu mzima afu anasema hajui kwa nini tanzania ni maskin bas HANA AKILI.