augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
siasa ndio uti wa mgongo wa taifa hili,kwani wamekuwa wakiongezewa vipato bila visingizi vya uchumi mdogo wa taifa,MADIWANI WAMEONGEZWA KWA ZAIDI YA ASILIMIA MIA,WABUNGE NA MADIWANI WANALIPWA TENA VIWANGO SAWA BILA KUJALI TOFAUTI YA ELIMU AU UKUBWA WA MAJIMBO YAO.