MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,049
Si maandamano yalizuiwa ama kwa serikali ni sawa ila kwa upinzani ni haramu?? Je intellijensia haijaona dalili za viashiria vya umwagaji damu???
hahhahaaahah umeniwahi aic wapi kamanda sirro atupe intelijensia yake anahis vip