Rita Warobi
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 343
- 574
Kweli aisee, utasema walikua viziwi wakati viongozi wa upinzani wakiimba ngonjera za kuangalia mikataba ya kinyonyaji iliyosainiwa na serikali ya ccm., hii sio double standard tu ni unafiki wa hali ya juu