Kwa muda wa wiki sasa hii runinga ya taifa imekuwa ikifanya vituko vya ajabu kwenye vipindi vyake na hasa Taarifa ya habari. Humu ndani kuna topiki zaidi ya kumi zinazoongelea/lalamikia namna TBC kulivyo na ubabaishaji.
Mimi nahisi kuna hujuma za waziwazi kutoka ndani ya watendaji wa hiki chombo ili watazamaji tuzidi kuichukia. Haiwezekani mafundi mitambo wafanye upuuzi uleule kila siku. Ili kupunguza malalamiko management ya TBC wawachunguze wafanyakazi maana kuna kila dalili hujuma zinatoka ndani.
Mimi nahisi kuna hujuma za waziwazi kutoka ndani ya watendaji wa hiki chombo ili watazamaji tuzidi kuichukia. Haiwezekani mafundi mitambo wafanye upuuzi uleule kila siku. Ili kupunguza malalamiko management ya TBC wawachunguze wafanyakazi maana kuna kila dalili hujuma zinatoka ndani.