Nakerwa sana na wafanyakazi wa vivuko hivi kwa kutumia lugha ya kiswahili vibaya.
Ni kawaida pantoni inapofika upande wa upili usikie matangazo ya kufika na yanayotoa tahadhari kwa abiria.
Maneno yanayochefua ni,
1.abilia akimaanisha abiria
2.balabala=barabara
3.tunashukulu=tunashukuru
4magali=magari
Ni kawaida pantoni inapofika upande wa upili usikie matangazo ya kufika na yanayotoa tahadhari kwa abiria.
Maneno yanayochefua ni,
1.abilia akimaanisha abiria
2.balabala=barabara
3.tunashukulu=tunashukuru
4magali=magari