KAGOMA MTUMWA
Member
- Aug 1, 2017
- 15
- 8
Ombi kwa Mkuu wa nchi, Uhakiki uendelee wakati huohuo shughuli za marekebisho ya mishahara yaliyo sitishwa kulingana na madaraja yao mapya pamoja na uhamisho ulio sitishwa yaruhusiwe. Kwani kwa mujibu wa taarifa za Waziri mwenye dhamana Nazi ya uhakiki imekamilika ama imefikia hatua nzuri ya kuridhisha. Hali ni mbaya kwa Watumishi kwa sasa hususan Walimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app