Wafanyakazi hasa kada ya uwalimu wako "desperated "

Wafanyakazi hasa kada ya uwalimu wako "desperated "

Nimekuwa nakutana na wanafunzi wanapiga makelele, na wakimuona mwl wa kike wala hawaachi. Lkn wakimuona wakiume utaona wanakaa kimyaa.. Lakini pia hata nikiwa natambulishwa tu huwa naona utofauti mkubwa sana kati ya wanafunzi wanavyomchkulia mwl wa kike na wakiume...

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya uliyoyasema yanaanzia ngazi ya familia.. Kama mtoto analelewa hamuheshimu mama yake, anazunguka na mama ake kwenye singeli kukata viuno, anakaa balazani na wamama wanasimuliana mtoto anazaliwaje, unadhani wanaweza kumuheshimu mwalimu wa kike? Malezi, malezi, malezi.
 
Hii ni kwa mwalimu shule ya msingi kumbukumbu, hii ni kwa mwalimu shule ya msingi ya nyahanga........................ TOKOMEZA ZIROOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Uhmmm.... Hata mim ningesema wako desperated kuonesha wamefanyiwa. Ni kama vile kusema they have been desperated. I don't think you can say they are desperate.
Desperated...! Acheni kuharibu lugha za watu! Kama mtu hujui Kiingereza ni heri uandike hata Kisukuma au Kimakua. Hii tabia ya kudandia lugha msizozifahamu naona inaota mzizi...inaonekana mkulu kawaambukiza!
 
Desperated...! Acheni kuharibu lugha za watu! Kama mtu hujui Kiingereza ni heri uandike hata Kisukuma au Kimakua. Hii tabia ya kudandia lugha msizozifahamu naona inaota mzizi...inaonekana mkulu kawaambukiza!
Shida yako nin mkuu, kukose ni sehemu ya kujifunza. Umelalamika tu tuiache lakini ulichokisema kama point ya kwanini unataka tuache kuharbu lugha za watu. Kwani kama ni makosa unaweza kukosea hata hiko kisukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"desperated" maana yake nini hapo!??
 
965b2276ada75658718700b86d899c4e.jpg

Nimejarbu kupita karibu shule zaidi ya 300, nikitembeza vi-handouts kwa masomo mbalimbali. Awamu ya kwanza nilitembeza mkoa wa Dar es salaam, kisha Iringa, Moro, dom, singinda na Tabora. Nilikutana na walimu kadhaa maofisini wakiwa na ari ya kufany kazi sana. Hata wengine walininyima kabisa muda wa kuwashawishi wanafunzi kununua handout zangu, kuwa hawana muda.

Nimepita awamu hii hasa kwa mikoa hii hasa wakati huu yaani baada ya mwezi JULY kuja bila ongezeko WALIMU WALIO WENGI WAMEKATA TAMAA. WANAFANYA TU KWA SABABU HAWANA NAMNA NYINGINE.

LAKINI KUNA KITU NIMEGUNDUA JAPO KINAWEZA ONEKANA KIDOGO, KUWA mkoa wa dar es salaam unawalimu wa kike wengi sana ukilinganisha na shule za huko mikoani.

Madhara yake walimu walio wengi wakipata mimba, au akijifungua ndo hafanyi kazi tena effectively. Na watoto wanakuwa hawana mwl japo anahesabika yupo!

Kwa utashi wangu mdogo walimu wa kike pia wanashindwa kupambana na aina ya wanafunzi watukutu wa dar hii inapelekea Dar kufanya vibaya kitaluuma kitaifa. Puuzeni lakini nimeyaona hayo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimkupm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ari itapanda tu, Walimu msiwe na wasi bado Mkuu wa nchi anajipanga vema. Kwa sasa tukae kimya kama vile hatuumii chochote. Raisi aliwahi kuwa Mwalimu hivyo anayajua vema masaibu ya WAALIMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom