Sawa nimechoka tena sana!Umechoka kinoma!,mbona bado
Nimeanza kuhisi wewe ni trained robot. Huwezi binadamu mwenye utimamu wa akili akawa anaunga mkono mabovu yote bila kuchuja.Umechoka kinoma!,mbona bado
Umechoka kinoma!,mbona bado
Nimeanza kuhisi wewe ni trained robot. Huwezi binadamu mwenye utimamu wa akili akawa anaunga mkono mabovu yote bila kuchuja.
Uchache wenu humu jukwaani hauwezi zuia nchi isiendelee,fanyeni kazi kwa bidiiTatizo ulipata elimu ya chini ya mwembe
Exactly, hata kama unampenda mtu, kuna maovu inabidi uyakemee! Kuwa hili Mh Rais Magufuli unakosea! Utakuwa mwungwana!Nimeanza kuhisi wewe ni trained robot. Huwezi binadamu mwenye utimamu wa akili akawa anaunga mkono mabovu yote bila kuchuja.
Mkuu hilo ni trained robot kweli..Nimeanza kuhisi wewe ni trained robot. Huwezi binadamu mwenye utimamu wa akili akawa anaunga mkono mabovu yote bila kuchuja.
Upumbavu wenu mnashikiwa akili,na vi thread vya kina retired,hotuba ya rais Magufuli imeeleza kwa uwazi multplier effects ya hatua inazochukua serikali kwa ajili ya wafanyakazi,kaeleza kwa kina kabisa,nyie mnawaza mshahara tu,Nimeanza kuhisi wewe ni trained robot. Huwezi binadamu mwenye utimamu wa akili akawa anaunga mkono mabovu yote bila kuchuja.