Wafanyakazi 134 wakutwa na vyeti feki hospitali ya Muhimbili, majina yao haya

Hiki ni zaidi ya kilio kwa watanzania. Tuendelee kumuombea mambo mengine yanahitaji zaidi busara na hekma
 
Binafsi kwa namna yoyote ile siwezi kumuelewa yeyote anayefanya utetezi wowote kwa mtu ambaye amegushi cheti na hasa kwenye sekta ya afya, huku ndiko kunafaa serikali iwe kali kama pilipili.
Tungependa zoezi hili lisiishie kwa wafanyakazi wa sekta ya umma bali lifike hata sekta binafsi, na kama ni ngumu kufika huko basi angalau hospitali zote binafsi nchini na vyuo vikuu binafsi vyote nchini,huko tunaweza kukuta MASTERS na PHD fake,wataalam wanaozalishwa kutoka vyuo binafsi kama wana elimu fake pia tutegemee products fake,products ambazo pia zitakuja kuwa watumishi wa umma pia na sasa watakuwa ni wataalam wenye vyeti original lakini wamefundishwa na wakufunzi wenye vyeti fake na kwa hiyo ubora wao kuwa na shaka.
WATAALAM WA AFYA HOSPITALI BINAFSI na WAKUFUNZI VYUO VIKUU BINAFSI nao WAKAGULIWE VYETI.
 
Binafsi kwa namna yoyote ile siwezi kumuelewa yeyote anayefanya utetezi wowote kwa mtu ambaye amegushi cheti na hasa kwenye sekta ya afya, huku ndiko kunafaa serikali iwe kali kama pilipili.
Tungependa zoezi hili lisiishie kwa wafanyakazi wa sekta ya umma bali lifike hata sekta binafsi, na kama ni ngumu kufika huko basi angalau hospitali zote binafsi nchini na vyuo vikuu binafsi vyote nchini,huko tunaweza kukuta MASTERS na PHD fake,wataalam wanaozalishwa kutoka vyuo binafsi kama wana elimu fake pia tutegemee products fake,products ambazo pia zitakuja kuwa watumishi wa umma pia na sasa watakuwa ni wataalam wenye vyeti original lakini wamefundishwa na wakufunzi wenye vyeti fake na kwa hiyo ubora wao kuwa na shaka.
WATAALAM WA AFYA HOSPITALI BINAFSI na WAKUFUNZI VYUO VIKUU BINAFSI nao WAKAGULIWE VYETI.
Is like your saying, huwezi kupata nguo nzuri kutoka katika pamba iliyooza (Ndalichako, 2016)
 
Ajira zitangazwe haraka ndugu na jamaa zetu wapate ajira. Hongera magufuri. Ccm mbele kwa mbele.

By
Babu okotookota wa Ifakara

na hao wengine sio ndugu na jamaa, wangewaacha tu watu wana ma experience yao ya kufa mtu, yaani hao ma senior ukimchukua nurse wa degree ukamuweka hapo wala hawezi shindana na hao ma senior kwa uzoefu, kazi sio hivyo vyeti bali ni huo uzoefu walioupata kwa muda mrefu yaani hao wame graduate practically, na kwenye ajira hapo ni sawa na kutoa hela mfuko wa kushoto na kupeleka wa kulia wote hao ni watanzania
 
Jambo la vyeti lilianza kwa JK lakini JK alijua madhara yake kwa Jamii na hatma ya wahusika akaliacha lakini kiukweli litaumiza watu wengi sana huko tuendapo
Kuna tatizo kubwa sana la Waafrica kuamini makaratasi(vyeti) sana na hii imepelekea hata wanafunzi kuwa watumwa wa vyeti kuliko kilichowapeleka Shule au vyuo (Elimu na maarifa) Kwa kujua Cheti ndio kila kitu kuliko Knowledge
Kuna field nyingine vyeti muhimu mkuu yani cheti kinamata hundred percent.
 
Back
Top Bottom