Wafanyakazi 134 wakutwa na vyeti feki hospitali ya Muhimbili, majina yao haya

Nadhani wengi hatukuelewa kile kiitikio cha wimbo ulee pendwa au hatukumuelewa zile a.k.a zake "mtumbua majipu"

Makamba Sr. alitabiri kwa sehemu kuwa ubatizo ufuatao ni wa maji ya moto most of you and specifically hawa wanaotoka sasa were joined two hands and legs that he is right candidate for time being.

Kiukwel hili swala la vyeti feki wa kwanza kulaumiwa alitakiwa kuwa baba liz. Yule mzee nakumbuka aliiacha hii riport mezani kwa kisingizio kuwa uongozi/utawala sio uadui.

Irresponsible kwa top leaders matokeo yake ndio haya malonyalonya yote tunayoyaona yanatokea.

Hata ajali ya wale watoto juzi ukichunguza kuna shida mahali au dereva wenge au mmiliki wa shule ana tamaa ya fedha au magari yalikuwa mabovu au watoto walirundikwa kama mananasi.

Huwa siwakubar MaDr. sababu wanachokijua wao ni hicho hicho ila katika hili Mukulu yupo more than right. Maana najiuliza hawa kama wameweza kufoji cheti hivi watashindwa kufoji nini maishani mwao? kuomba rushwa, kuuza madawa ya wagonjwa, kuchelewa kazini, kutokuwa na maadili ya kazi wala kuzingatia weledi wa fani yao?

Mi naona bora waende tuanze mwanzo mpya.
 
Ngoja nianzishe hospitali yangu binafsi, hapa kuna wataalam wanachezewa tu kisa vyeti vya form four, "photosynthesis", matrices vinahusiana vipi na kuchoma sindano ya artesunate? Hapa najiokotea "cheap labour"
Unajidanganya mkuu, kinachofuatia ni hao waliogushi kuondolewa katika usajili na mabaraza yao ya taalama, kimsingi bila usajili wa baraza lako la taaluma hutaruhusiwa kupractise nchini,kwa hiyo kwenye dispensary yako ni kosa kisheria kuajiri mtu ambae hajasajiliwa (mambo ya enlisting, enrollment na regisration kwa certificates, diploma na degree respectively).
Kwa kweli inasikitisha na tunawahurumia ndugu zetu lakini ndio hivyo tena serikali iko kazini.
Cha msingi kama kuna walioonewa wakate rufaa lakini kama waligushi kweli basi wakubali matokeo wakajipange kwa mambo mengine,MLANGO MMOJA UKIFUNGWA MWINGINE UNAWEZA KUFUNGUKA,jambo baya ni kukata tamaa.
 
Hili tatizo ni kubwa sana ,naomba mtoa mada utujulishe kama hawa ni ndani ya wale 9932? Hili tatizo linaonekana ni kubwa na serikali inabidi iende mbali zaidi kwa kuangalia chanzo cha tatizo au ni wapi hasa wanaweza kuingia mpaka kupata kazi na cheti ambacho siyo;tukiweza kulitambua hilo basi tutakuwa tumeondoa tatizo asilimia karibia zote ila hapa kitendo cha kuwaondoa kwenye ajiri bila kuangalia waliingiaje na nani alihusika kwa kujua au kutokujua basi kuna tatizo ambalo litajirudia
 
Hapo Muhimbili.
Mie nilimwokoa ndugu yangu. kwani nesi alimwandikia bandeji begani kuwa atafanyiwa opresheni ya KOO badala ya kumwandikia PUA. ilikuwa patashika!!!! bahati nzuri niliiona hiyo bandeji stika asubuhii kabla ya operesheni.
Duh!! Very serious!
 
Nadhani wengi hatukuelewa kile kiitikio cha wimbo ulee pendwa au hatukumuelewa zile a.k.a zake "mtumbua majipu"

Makamba Sr. alitabiri kwa sehemu kuwa ubatizo ufuatao ni wa maji ya moto most of you and specifically hawa wanaotoka sasa were joined two hands and legs that he is right candidate for time being.

Kiukwel hili swala la vyeti feki wa kwanza kulaumiwa alitakiwa kuwa baba liz. Yule mzee nakumbuka aliiacha hii riport mezani kwa kisingizio kuwa uongozi/utawala sio uadui.

Irresponsible kwa top leaders matokeo yake ndio haya malonyalonya yote tunayoyaona yanatokea.

Hata ajali ya wale watoto juzi ukichunguza kuna shida mahali au dereva wenge au mmiliki wa shule ana tamaa ya fedha au magari yalikuwa mabovu au watoto walirundikwa kama mananasi.

Huwa siwakubar MaDr. sababu wanachokijua wao ni hicho hicho ila katika hili Mukulu yupo more than right. Maana najiuliza hawa kama wameweza kufoji cheti hivi watashindwa kufoji nini maishani mwao? kuomba rushwa, kuuza madawa ya wagonjwa, kuchelewa kazini, kutokuwa na maadili ya kazi wala kuzingatia weledi wa fani yao?

Mi naona bora waende tuanze mwanzo mpya.
Mkuu Mimi mwenyewe katika hili nakubaliana na Rais. Sekta ya afya ilikuwa na tatizo kubwa.manesi wengi na wahudumu,pamoja na baadhi ya madaktari ni vihiyo wa kutupwa.Halafu heshima wanayopewa na jamii ni kubwa kuliko walimu. Labda inawezakuwa sababu mshahara wao ni mkubwa.
Huwezi kuamini,kwenye Halmashauri nyingi nusu au zaidi ya nusu ya wafanyakazi wenye vyeti feki ni kutoka idara ya afya.Hovyo tu.
 
Kuna kasoro kubwa sana mahali na watakaoumia ni wale ambao hawana watetezi. Kama hili zoezi ni la haki na huru kwa Watanzania wote kwanini list ya wahusika wa Jeshi na Polisi nayo haiwekwi hadharani? KULIKONI?
Katika hili hakuna hatakayeonewa(NECTA wapo makini na utaratibu wa kukakta rufaa ikiwa umechanganywa kimakosa upo wazi) kama unacheti halali na umesomea mwenyewe utasimama,kama cha binamu,shangazi nk nk huwezi pona!
 
Ngoja nianzishe hospitali yangu binafsi, hapa kuna wataalam wanachezewa tu kisa vyeti vya form four, "photosynthesis", matrices vinahusiana vipi na kuchoma sindano ya artesunate? Hapa najiokotea "cheap labour"
Kabisa yaan taaruma na Chet nivitu viwili tofaut
 
Swali la kizushi lilopo mtaani linasema ulitaka mke au mume mtumishi je akikubwa na seke seke la vyeti feki je utamuacha
Kama ulipenda utumishi wake of course huna budi kumwacha; ila kama ulimpenda yeye basi huna jinsi. Mtafutie japo ubaa medi maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom