Wafanyakazi 134 wakutwa na vyeti feki hospitali ya Muhimbili, majina yao haya

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
2.jpg
1.jpg
3.jpg
4.jpg
5.jpg
6.jpg
7.jpg
8.jpg
9.jpg
 

Attachments

  • Wafanyakazi Wenye Vyeti Vya Kughushi Hospitali ya Taifa Muhimbili (1).pdf
    711.2 KB · Views: 183
Ngoja nianzishe hospitali yangu binafsi, hapa kuna wataalam wanachezewa tu kisa vyeti vya form four, "photosynthesis", matrices vinahusiana vipi na kuchoma sindano ya artesunate? Hapa najiokotea "cheap labour"
 
Hii kitu inauma aisee..these people have families to feed and take care of like you and me.....In all kwa kweli hatuna budi waTanzania kubalidilika aisee. Nani alijua vyeti fake vinaweza kupeleka kilio kwa wahusika? Jamani tuachane na short cut za maisha. Hazilipi kabisa! Kama siyo leo basi kesho utadakwa.
 
Hawa ni watu wenye ujuz kabisa leo wanaondoka muhimbili pamoja na changamoto zote za utabibu zilizopo pale, MH. Ungedeal na hawa wanaonza kuingia makazini hao waliopo wangepotea wenyewe tu nje ya hapo mtaua watu pressure na pia tutapungukiwa na wataalamu hasa katika sekta muhimu kama ya afya.
 
Jambo la vyeti lilianza kwa JK lakini JK alijua madhara yake kwa Jamii na hatma ya wahusika akaliacha lakini kiukweli litaumiza watu wengi sana huko tuendapo
Kuna tatizo kubwa sana la Waafrica kuamini makaratasi(vyeti) sana na hii imepelekea hata wanafunzi kuwa watumwa wa vyeti kuliko kilichowapeleka Shule au vyuo (Elimu na maarifa) Kwa kujua Cheti ndio kila kitu kuliko Knowledge
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom