Bonson
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 183
- 147
- Thread starter
- #41
Titty, lakini inakuwaje sasa kwamba UG hawana bandari lakini bado wanafikisha mzigo hapa kwa bei nafuu kiasi kwamba wafanyabiashara wetu wanatoka Dar/Mza na kununua hapa; na wakifikisha TZ wanauza na kupata faida!! Something is not connecting well here. Kwa mantiki hii, ingebidi wafanyabiashara wa UG ndio waje TZ kununua mzigo.Pili ukichukua nguo maybe China unangalia interest za wa Tz unaleta nyingi namwengine hivyo hivyo. Sasa waganda wanagalia interest zao. Kinachotokea ukienda uganda unaleta nguo unique ambazo hazitokua nyingi yani sare. Ukileta tz watu wanaona nguo unique kwasababu haziko huku ziko sehem nyingine.
Cjui nimeeleweka
Nimeelewa point yako; lakini hili la mzunguko wa mzigo hadi ufike Kampala na bado ukaweza kununuliwa kwa faida na Mfanyabiashara wa TZ limekaaje???