Wakuu.
Nimeona habari youtube kwa millardayo kuhusu wafanyabiashara wa congo wakilalamikia tozo mbali mbali na kumwomba Mh.Rais Magufuli aingilie kati suala hilo na ukweli ni kua hili ni doa kubwa kibiashara kwani sio vizuri kumnyanyasa mteja wako Naomba viongozi muingilie kati hili suala kwa sababu sii sawa na tumelalamika muda mrefu kuhusiana na huduma za Bandari yetu.
Nimeona habari youtube kwa millardayo kuhusu wafanyabiashara wa congo wakilalamikia tozo mbali mbali na kumwomba Mh.Rais Magufuli aingilie kati suala hilo na ukweli ni kua hili ni doa kubwa kibiashara kwani sio vizuri kumnyanyasa mteja wako Naomba viongozi muingilie kati hili suala kwa sababu sii sawa na tumelalamika muda mrefu kuhusiana na huduma za Bandari yetu.