Mi dushe langu nimeliweka first class sio kila mwanamke anaruhusiwa kulinyonya na kuliingiza kwenye papuchi yake,tatizo wanaume wengi kuanzia upper class mpaka lower class madushe wanayachukulia poa ndo mana barmaids twende,wauza nyapu hewala,housegirl haina matata,mfanyakazi mwenzie fresh tuuu
NB:Sio kila mtu anatakiwa akuone ukiwa uchi wewe sio mbuzi!
Eti kwanini nitembee na mfanya usafi ofisini anayeishi uswahilini huko
1. Ivi wanaoishi uswahilini huwa hawana nyege?
2. Sio kila uanyemtupia tongozo akakubali siku hiyohiyo nimalaya lahasha mlikutana wote mnaminyege ya mda mrefu
3. Ulidandia gari kwa mbele na sio kila kingaacho ni zahabu.
4. Kazi ni kazi tofauti majina
well said my dear.... usikute huyo mdada anamzid mshahara hajui tu!!!!
Oyeaaah but miss you badly
Me tooo bae.... naona wanataka kukuchokoza
Ofisini kwa kawaida huwa nafika saa kumi na mbili kamili asubuhi, mida hiyo lile kampuni la kufanya usafi ofisini kwetu wafanyakazi wake wanafika hapa saa kumi au kumi na moja kasoro asubuhi, nawakuta wameshamaliza usafi sasa wanaelekea vyooni kusafisha.
Kuna msichana mmoja hapa amekuwa akinipiga mzinga wa nauli mara kwa mara anasema hana nauli, ni msichana mzuri sana hata huwezi amini kwanini anafanya kazi za usafi maofisini.
Siku moja al manusura shetani anishinde, lakini nilishinda nusu, nilimjaribisha kuomba mzigo, hakusita kukataa nikajuta kwanini nimemwomba halafu amekubali moja kwa moja ila hataki kufanyia ofisini anataka nje ya ofisi, nijajiuliza kwanini amekubali haraka hivi? halafu, kwanini nitembee na mfanya usafi ofisini anayeishi uswahilini huko? nikamwacha kama alivyo na nikaona huyu malaya tu kumbe na huo ulikuwa mtego wangu kwake kumfahamu ombaomba ya nauli yake.
Miezi mitano imeshapita sasa, anafanya usafi floor nzima wako na wanaume wawili vijana wenzie lakini yeye mcheshi kweli. Kuja kugundua, kumbe zile nauli alikuwa anatuomba wanaume wa vyumba vyote kwenye floor yetu kila mtu akimpiga kibuti cha nauli anakusanya kama konda wa daladala.
Kufanya utafiti, ametembea na wanaume wa floor nzima kasoro mimi, hapo ndipo nilichoka. Nikajiuliza kumbe hawa wasichana wa usafi ni wabaya hivi, si wanaweza kuambukiza UKIMWI ofisi au hata gorofa zima? halafu ni wazurii hadi unajiuliza inakuwaje msichana mzuri kama huyu anafanya kazi za usafi? kuweni makini wandugu.
Na hao ndiyo wengi mkuu...kuwa makini sio wote wanaofanya usafi maofisini wapo kwa nia hiyo wengine wapo kwenye maalumu( watu wa usalama ).
Mtaendelea kuambukizwa na mimi nasema muambukizwe tu maana hatuna namna nyingine....kubaki njia kuu hamtaki,kutumia condom mnaona mzigo tuwasaidieje watu kama ninyi(nakuambia wewe kwa niaba ya hiyo floor nzima)
Khantwe wewe ni binti wa rahisi mtarajiwa? Naona mnafanana swaga za kuongea!
Jitoe kwenye mtandao
najipenda siko kwenye mtandao aina yoyote
Sasa mkuu kwani uzuri ni guarantee ya kuwa na kazi nzuri?
Anaweza kuwa mzuri lakini kisomo kikawa shida kwa hiyo huwezi shangaa. After all kufanya usafi ni kazi kama kazi nyingine tena siku hizi hadi kuna vyuo vinavyofundisha mambo hayo sema huwa hatuna utaratibu wa kuheshimu kazi na tuna dhana ya kuthamini baadhi ya kazi.
Unaweza ukawa upo ila hujijui