hao wapuuzi wanakula vibaya sana hasa nyumba ikiwa kimya, nilichojifunza siku ya kupiga dawa za mbao za kupaulia unakuwa na dawa yako nyingine kwa pembeni unaenda jioni kabisa utaponunua mbao na kuweka dawa, wakiweka dawa yao wakimaliza na wewe unaweka yako halafu mbao zinalala asubuhi ndio unaenda kuzichukua kuelekea site kupaua ila kwa sasa tumia hiyo aliyoelekeza dronedrake hapo juu kuna lita 1 yake inauzwa kitu kama 30K-40K.Jamani..nyumba yangu inashambuliwa an wadudu walao mbao ,,wanatoa sauti kama msumeno.Je nikitu gani nifanye kuwazuia ili wasilete madhara?niko Dar Es salaam.Kama kunadawa labsa jiambieni inatwaje na inapatika wapi hapa dar es salaam?
Unatumia kitambaa kupaka kwenye mbaoSaw a,,dawa inaitwaje ili niakununue.Na kama liishaezeka nakuweka gypusm..je naitumiaje..ukweli mwaka umeisha wanatesa sana ..naogopa paa lisije likadondoka
hata wakiwa wameshaanza kula?Kuna fundi aliniambia chokaa tu ndio kiboko unapaka tu
nunua spray tank ile kubwa (au kodi kwa watu wa fumigation),Saw a,,dawa inaitwaje ili niakununue.Na kama liishaezeka nakuweka gypusm..je naitumiaje..ukweli mwaka umeisha wanatesa sana ..naogopa paa lisije likadondoka