Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
- Thread starter
- #21
kaka acha kutuchonganisha na serikali sema ni zuri kwa kazi za utalii.Maadamu imeshafika tanzania, natumai ni nzuri kwa shuguli ya kuwindia faru
kaka acha kutuchonganisha na serikali sema ni zuri kwa kazi za utalii.Maadamu imeshafika tanzania, natumai ni nzuri kwa shuguli ya kuwindia faru
Mkuu hii si hammer, inaitwa humvee, ni magari ya kijeshi yanayotumiwa na serikali ya marekani, wanayatumia sana iraq na afghanistan sasa wewe sijui umelipata wapi?
Mkuu hii si hammer, inaitwa humvee, ni magari ya kijeshi yanayotumiwa na serikali ya marekani, wanayatumia sana iraq na afghanistan sasa wewe sijui umelipata wapi?
Left hand or right hand drive?
Petrol or Diesel?
Fuel consumption km/litre?
Engine capacity?
Spares and service kits?
Mkuu hata kwa kwendea mbugani hilo halifai, maana mbung'o watakumaliza(so price goes down!)
Hata hivyo sema bei.
why wewe unaliuza?
nenda nalo mwenyewe mbugani? jamaa wakija wanajisevia limbs bila wasiwasi....
nataka kuhama tanzania mkuu na huko nitakakohamia nataka kwenda na cash ili nikanunue huko.
hiyo ni left hand drive mkuu just take a closer look @ itLeft hand or right hand drive?
Petrol or Diesel?
Fuel consumption km/litre?
Engine capacity?
Spares and service kits?
Mkuu hata kwa kwendea mbugani hilo halifai, maana mbung'o watakumaliza(so price goes down!)
Hata hivyo sema bei.
Milango yake iko wapi kaka au ndio hapo hapo basi? Manake limekaa mkao wa vita kuwa saa yoyote mtu anashuka chap chap.....sasa miye kyekue si ntaporomoka?
hilo linapita kila mkoa na wajeda hawana noma wala nini.Mkuu naona uko mkoani hamna shida sana, hapa mjini wenegeshi lao hawawezi kurikamata kweri!!
haya basi lipige rangi nyingine tuligombanie......manake nikiliona hili inanijia taswira ya kumsaka osama au gadafi majangwani.....
Mkuu sasa ujue kua hummer ni commercial product ya humvees..wamelimodify kutoka magari ya kijeshi ya kimarekani na kuyafanya kuweza kutumika na watu binafsi..tuseme hummer ni zao la humvees..
jamani hamna hela au mnaogopa muundo?