Saashisha Elinikyo
Member
- Jan 1, 2012
- 21
- 3
Ni miaka 3 sasa kila siku ya Mungu huingia humu jamvini na kusoma mawazo yenu wadau.leo nimeamua nijisajili rasmi tena kwa jina langu kamili.ili nitakapo changia wananifahamu wapate ithibati ya kunikosoa.karibu