Wadau nime-disco chuo, naomba ushauri

Wadau nime-disco chuo, naomba ushauri

acha uongo. Mtaalamu wetu wa mifugo uzi wako umeutelekeza, you have abandoned it completely! hakuna majibu ya maswali yetu. Rudi Dr.
narudi mkuu kuna vitu vilini keep busy kidogo.... this time nakuja na makala za kusisimua ili kuweza kuendesha gurudumu letu la mifugo nchini...
 
Askari Muoga nadhan kuna siku niliwah kukuuliza kitu humu wewe kumbe ni mwanachuo? hahaha mbona wamekukawiza sana sana wewe !mie nahis pombe imekufanya udisco au bangi !mara nying comments zako huwa zinaleta walakini mnooo ! na andika yako hukutakiwa kwenda chuo aiseee labda urudie form 2 !am sorry to say this
 
narudi mkuu kuna vitu vilini keep busy kidogo.... this time nakuja na makala za kusisimua ili kuweza kuendesha gurudumu letu la mifugo nchini...
Ubarikiwe sana. Ngombe wangu alisimama kama ulivyonishauri. Downers syndrome.. alipona na sasa yuko fit. Nimekuomba nimpe lishe gani maana alilala for two weeks , amekonda nimpe lishe gani arudishe afya na nichukue tahadhali gani isijirudie tena.
 
Wiki ya mwisho us September hii ndiyo unamfahamu kuwa uli disco? Apply chuo kingine kwa marks zako za A-level. Unge apply mapema through clearance ungekuwa inaanza mwaka wa kwanza sasa hivi.
 
Ubarikiwe sana. Ngombe wangu alisimama kama ulivyonishauri. Downers syndrome.. alipona na sasa yuko fit. Nimekuomba nimpe lishe gani maana alilala for two weeks , amekonda nimpe lishe gani arudishe afya na nichukue tahadhali gani isijirudie tena.
kuna feed formulation nitakupatia baadae kidogo pm mkuu.... u wait niko safarini and network inakuwa inakuja na kupotea nikifika nitakucheki mkuu
 
Askari Muoga nadhan kuna siku niliwah kukuuliza kitu humu wewe kumbe ni mwanachuo? hahaha mbona wamekukawiza sana sana wewe !mie nahis pombe imekufanya udisco au bangi !mara nying comments zako huwa zinaleta walakini mnooo ! na andika yako hukutakiwa kwenda chuo aiseee labda urudie form 2 !am sorry to say this
mh beef
 
Wiki ya mwisho us September hii ndiyo unamfahamu kuwa uli disco? Apply chuo kingine kwa marks zako za A-level. Unge apply mapema through clearance ungekuwa inaanza mwaka wa kwanza sasa hivi.
chuo gani sasa
 
Nimeingia kwenye profile yako mleta uzi, nimepitia threads zako mbalimbali!!!!!
 
Back
Top Bottom