Wadau nime-disco chuo, naomba ushauri

Wadau nime-disco chuo, naomba ushauri

Huko Ku disco kusikie tu kwa wenzako, wewe wala hauja disco sema ni attention seeker tu
 
Huo uandishi unapnesha kuna shida mahali..alaf umedisko ilihali upo MWAKA WA KWANZA!! WHAT HAPPENED!!!
 
Hongera maana hiyo safari ingekua ngumu huko mbeleni kwako, rudi nyuma jipange upya, angalia sehemu ingine ambayo unaona itakua ni sahihi kwako
 
Oyiii wadau nime disco Chuo ivyo siwezi kuendelea mwaka wa pili,pia utaratibu wa chuo si ruhusiwi kurudia mwaka

Haya rudisha mkopo haraka au tukutumie watu wasiojulikana wazitolee kwenye tundu lolote
 
Wewe Askari Muoga ni muongo na mnafiki...
Mwezi wa nne niliweka bandiko humu tangazo la kazi ya IP/Networking kwa Graduates wa IT, Computer na Telecom.
Wewe ulikua mmoja wa applicants na CV yako ninayo. Ama niiweke hapa...
Kama haitoshi, kwenye post za watu wa IT za TPA mwezi wa Saba pia tulikutana pale DUCE kwenye Mchujo...
Fala wewe.. Una enjoy watu tu...
 
Daah pole sna mkuu nahis ulipoingia chuo hukuzingatia 5p principle
1.proper
2.preparation
3.prevent
4.poor
5.perfomance

Any way umestahili kudisco mkuu
 
Wewe Askari Muoga ni muongo na mnafiki...
Mwezi wa nne niliweka bandiko humu tangazo la kazi ya IP/Networking kwa Graduates wa IT, Computer na Telecom.
Wewe ulikua mmoja wa applicants na CV yako ninayo. Ama niiweke hapa...
Kama haitoshi, kwenye post za watu wa IT za TPA mwezi wa Saba pia tulikutana pale DUCE kwenye Mchujo...
Fala wewe.. Una enjoy watu tu...
padri Muogope Mungu yaishe
 
Kwa uandishi huo lazima udisco. Bashite wewe. Hata kuandika mada vizuri hujui?!?. Ulifikaje Chuo?
Duuh mkuu nenda nae pole pole Jamaa ako na stress za Ku disco......
BTW pole sana mkuu jaribu kufuatilia usaili mwingine wa chuo kingine urudie mwaka
 
Back
Top Bottom