Robert Marco
Member
- Nov 8, 2012
- 47
- 30
Naombeni mawazo na ushauri wenu Wana JF:-
Natarajia kuwa na harusi mapema wiki ya kwanza ya Desemba 2013. Plan yangu ni kuwa na shughuli ya watu kati ya 100 na 120 na nina bajeti ya 5M. Nimejaribu kubana baadhi ya vitu lakini ukumbi imekuwa changamoto, naomben mawazo yenu, ikishindikana kupatikana jmosi nipo tayari kufanya Ijumaa au Jpili
Natarajia kuwa na harusi mapema wiki ya kwanza ya Desemba 2013. Plan yangu ni kuwa na shughuli ya watu kati ya 100 na 120 na nina bajeti ya 5M. Nimejaribu kubana baadhi ya vitu lakini ukumbi imekuwa changamoto, naomben mawazo yenu, ikishindikana kupatikana jmosi nipo tayari kufanya Ijumaa au Jpili