Box tupo
Member
- Nov 2, 2019
- 55
- 54
Wadau nadaiwa na m-pawa Tsh 65,000. Kila mara wananitumia sms za vitisho na kuniambia kuniambia kuwa watanichukulia hatua za kisheria.
Cha kushangaza laini yenyewe imefungiwa sababu sina namba ya NIDA.
Je kuna njia nyingine ya kuweza kurudisha huu mkopo wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangaza laini yenyewe imefungiwa sababu sina namba ya NIDA.
Je kuna njia nyingine ya kuweza kurudisha huu mkopo wao?
Sent using Jamii Forums mobile app