proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,481
- 1,356
- Thread starter
- #21
Mkuu maeneo nilipojenga hapakuwa dalili zozote zile za uwepo wa Mchwa na hamna kichuguu chochote kilichonizunguka ila nimeshangaa mara baada ya kumaliza kupiga plasta ,Mchwa wameaza kujitokeza kwenye baadhi ya vyumba,ila ninachoshukuru hawajaaza panda ukutani wapo chini tu na bado sijasakafia.Nakushauri kua ni vizuri zaidi kwanza ukachunguza hao Mchwa wanakotokea ni sehemu gani?
Kama ulichimba msingi imara na ukamwaga zege,si rahisi Mchwa kutoka chini ya ardhi?
Huenda hayo maeneo kuna vichuguu vimekuzunguka,
Kabla ya kutatua tatizo jaribu kuchunguza nini chanzo cha tatizo lenyewe?