Mkuyatimtamu
New Member
- Apr 5, 2021
- 2
- 2
Heshima kwenu wakuu sana!
Niliwahi sikia kuna meli zilizo na shehena ya mafuta ya kupikia zimeingia na siku si nyingi bei ya mafuta ya kupikia itashuka kwa maana ya kurudi kama ilivyokuwa mwanzo. Baada ya kusubiri kwa miezi karibia miwili leo nimeenda kununua mafuta na cha ajabu bei imepanda mara dufu, nimenunua lita 5 kwa Tshs 25,000/=kutoka kwenye bei niliyoiona kubwa ya Tshs 18,000/= miez 2 iliyopita.
Hebu tujuzane wadau huko kwenu vipi?
Niliwahi sikia kuna meli zilizo na shehena ya mafuta ya kupikia zimeingia na siku si nyingi bei ya mafuta ya kupikia itashuka kwa maana ya kurudi kama ilivyokuwa mwanzo. Baada ya kusubiri kwa miezi karibia miwili leo nimeenda kununua mafuta na cha ajabu bei imepanda mara dufu, nimenunua lita 5 kwa Tshs 25,000/=kutoka kwenye bei niliyoiona kubwa ya Tshs 18,000/= miez 2 iliyopita.
Hebu tujuzane wadau huko kwenu vipi?