Wadau: Epuka uchumba wa muda mrefu

Wadau: Epuka uchumba wa muda mrefu

mm ugonjwa wangu nikijamjua mwanamke hata km ni mzuri kiasi gani namchokaa, napoteza malengo nayee, sijuii kwann.

Am heartless
Hujui kwann kweli Mkuu!??

Wewe ni Ibilisi ID yako tuu inatoa majibu na najua unajua kazi kuu zako(Ibilisi)ni zipi
 
Uchumba = mmeshatambulishana kwenye familia zenu na posa imetolewa na kukubaliwa.

Mtoa mada umemaanisha uchumba au mahusiano tu ya bf and gf?
 
Uchumba = mmeshatambulishana kwenye familia zenu na posa imetolewa na kukubaliwa.

Mtoa mada umemaanisha uchumba au mahusiano tu ya bf and gf?
sio huo mkuu.pia mtu akishatoa mahali.tiyari ni ndoa ya kimila.kwakuwa umekubaliwa kote.hata mkiamua kuishi bila ndoa rasmi/kuzaa sio kesi. Naongelea uchumba wa vichochoroni wenye baraka za watu wawili na ndugu wachache sana.
 
"
I greet you all JF members,

Kuna watu wanakaa katika mahusiano ya uchumba kwa miaka kibao bila kuishi maisha ya ndoa rasmi, kutokana na utafiti wangu(naruhusu ukosoaji) angalau mkiwa na uhusiano wa uchumba kwa kipindi cha kuanzia miezi sita mpaka mwisho isizidi miaka miwili angalau mnaweza kufunga ndoa.

Kwakuwa mtakuwa mmeshajuana na mmeshakuwa marafiki wazuri na mapenzi yanakuwa kwenye peak.

Sasa shida inatokea mkikaa mda mrefu zaidi ya huo mda mnakuwa mmezoeana mnoo,upendo/mapenzi yanapungua, mmoja baina yenu lazima atajisikia anapotezewa mda kwakuwa naamini sio kila mtu atakuwa anapenda kuendelea kusubiri ndoa miaka nenda miaka rudi mmoja atakuwa kikwazo.

Pia nimegundua mkijuana/mkizoeana sana kwa mtu mwingine asiye na busara inakuwa mwanzo wa kuleta dharau na mwishowe uchumba kuvurugika.

Binafsi nafikiria ni vema wachumba mkajadiliana mkaona mda muafaka wa kuishi katika uchumba na kipindi cha kufunga ndoa pindi mnapoanzisha uhusiano, epuka kujiingiza katika mahusiano yasiyokuwa na miguu wala kichwa.

Matokeo mwishoni unaanza kulalamikaxumechezewa/umepotezewa mda, wakati
hukuwa na mkakati wowote wa kuoa/kuolewa don't waste your time and resources on a useless person.

Karibu wenye uzoefu/mitizamo juu ya hili,ukizingatia kuwa ukipata mke/mume ni jambo jema na unapata kibali kwa Mungu.
"Wee jamaa kichwa, wangekuweka kamati ya ushauri chadema"
 
I greet you all JF members,

Kuna watu wanakaa katika mahusiano ya uchumba kwa miaka kibao bila kuishi maisha ya ndoa rasmi, kutokana na utafiti wangu(naruhusu ukosoaji) angalau mkiwa na uhusiano wa uchumba kwa kipindi cha kuanzia miezi sita mpaka mwisho isizidi miaka miwili angalau mnaweza kufunga ndoa.

Kwakuwa mtakuwa mmeshajuana na mmeshakuwa marafiki wazuri na mapenzi yanakuwa kwenye peak.

Sasa shida inatokea mkikaa mda mrefu zaidi ya huo mda mnakuwa mmezoeana mnoo,upendo/mapenzi yanapungua, mmoja baina yenu lazima atajisikia anapotezewa mda kwakuwa naamini sio kila mtu atakuwa anapenda kuendelea kusubiri ndoa miaka nenda miaka rudi mmoja atakuwa kikwazo.

Pia nimegundua mkijuana/mkizoeana sana kwa mtu mwingine asiye na busara inakuwa mwanzo wa kuleta dharau na mwishowe uchumba kuvurugika.

Binafsi nafikiria ni vema wachumba mkajadiliana mkaona mda muafaka wa kuishi katika uchumba na kipindi cha kufunga ndoa pindi mnapoanzisha uhusiano, epuka kujiingiza katika mahusiano yasiyokuwa na miguu wala kichwa.

Matokeo mwishoni unaanza kulalamikaxumechezewa/umepotezewa mda, wakati
hukuwa na mkakati wowote wa kuoa/kuolewa don't waste your time and resources on a useless person.

Karibu wenye uzoefu/mitizamo juu ya hili,ukizingatia kuwa ukipata mke/mume ni jambo jema na unapata kibali kwa Mungu.
Naomba nikusalimie kwanza. VIP upoooo
 
Mhhhhh kwakweli na mimi inabidi nijitafakari upya kuhusu hili,ni kweli kabisa alichosema mtoa mada.

utakua ushavuka degree ya uchumba unaelekea master hhhhaaaa,uchumba sugu unatesa kwakweli,utashangaa unaachwa halaf anaoa mwingine aliekaa nae miezi mitatu tu we umekua nae miaka 6 au 8 ,sijui Hua wanafikiria nini vichwani mwao
 
utakua ushavuka degree ya uchumba unaelekea master hhhhaaaa,uchumba sugu unatesa kwakweli,utashangaa unaachwa halaf anaoa mwingine aliekaa nae miezi mitatu tu we umekua nae miaka 6 au 8 ,sijui Hua wanafikiria nini vichwani mwao
hapo.ndio kwenye kiini cha tatizo.kama mkiachana baada ya kukaa kwenye uchumba mrefu mtu anaoa/kuolewa kwa mda mfupi inaleta conclusion kuwa huhitaji miaka ya kusaka Phd katika kuoa.
 
Mhhhhh kwakweli na mimi inabidi nijitafakari upya kuhusu hili,ni kweli kabisa alichosema mtoa mada.
chukua hatua Nifah,fanya maamuzi magumu.nimeleta mawazo ya ukombozi na mbadala kwa wanaosomea Phd katika mapenzi! hizo ni ndoa zisizorasmishwa.
 
utakua ushavuka degree ya uchumba unaelekea master hhhhaaaa,uchumba sugu unatesa kwakweli,utashangaa unaachwa halaf anaoa mwingine aliekaa nae miezi mitatu tu we umekua nae miaka 6 au 8 ,sijui Hua wanafikiria nini vichwani mwao
Mwenzangu miaka miwili kama mtu haeleweki napiga chini,sisomei udaktari wa uchumba mimi.
 
chukua hatua Nifah,fanya maamuzi magumu.nimeleta mawazo ya ukombozi na mbadala kwa wanaosomea Phd katika mapenzi! hizo ni ndoa zisizorasmishwa.
Mimi bado sana mkuu,ila nimelichukua hili....
Nitalifanyia kazi
 
Back
Top Bottom