Wadau: Epuka uchumba wa muda mrefu

Wadau: Epuka uchumba wa muda mrefu

Nadhani hili halina formular, Mfano mimi nilianza uhusiano tangu wife yupo form 5 na tukajaoana baada ya yeye kugraduate ilichukua kama miaka 5 tukiwa kwenye relation..Japo kuna kuwa na changamoto zake mingi mno haswa mchumba anapoingia chuo usipokuwa makini utavunja uchumba ama upate ugonjwa wa presha..


Swali, mlikuwa mnalalana au ala?
 
Kwani uchumba ni nini sababu kuna watu wanajiita wachumba kumbe kuna watu wanaishi pamoja wanapata mtoto au watoto, ukimuuliza jibu nikwa huyo ni mchumba wangu sijauoa /ajanioa sasa mimi mtu wa bara sijui maana uchumba ni unaotwambia ni upi?kwani sisi wabara tunaamini mkiishi zaidi ya mwezi pande mbili za wazazi wakijua hiyo ni ndoa mmehoana kupitia maelezo ayo natamani kujua uchumba upi unaozungumzwa?.
 
I greet you all JF members,

Kuna watu wanakaa katika mahusiano ya uchumba kwa miaka kibao bila kuishi maisha ya ndoa rasmi, kutokana na utafiti wangu(naruhusu ukosoaji) angalau mkiwa na uhusiano wa uchumba kwa kipindi cha kuanzia miezi sita mpaka mwisho isizidi miaka miwili angalau mnaweza kufunga ndoa.

Kwakuwa mtakuwa mmeshajuana na mmeshakuwa marafiki wazuri na mapenzi yanakuwa kwenye peak.

Sasa shida inatokea mkikaa mda mrefu zaidi ya huo mda mnakuwa mmezoeana mnoo,upendo/mapenzi yanapungua, mmoja baina yenu lazima atajisikia anapotezewa mda kwakuwa naamini sio kila mtu atakuwa anapenda kuendelea kusubiri ndoa miaka nenda miaka rudi mmoja atakuwa kikwazo.

Pia nimegundua mkijuana/mkizoeana sana kwa mtu mwingine asiye na busara inakuwa mwanzo wa kuleta dharau na mwishowe uchumba kuvurugika.

Binafsi nafikiria ni vema wachumba mkajadiliana mkaona mda muafaka wa kuishi katika uchumba na kipindi cha kufunga ndoa pindi mnapoanzisha uhusiano, epuka kujiingiza katika mahusiano yasiyokuwa na miguu wala kichwa.

Matokeo mwishoni unaanza kulalamikaxumechezewa/umepotezewa mda, wakati
hukuwa na mkakati wowote wa kuoa/kuolewa don't waste your time and resources on a useless person.

Karibu wenye uzoefu/mitizamo juu ya hili,ukizingatia kuwa ukipata mke/mume ni jambo jema na unapata kibali kwa Mungu.
Mazoea na Insecurty ni mwiba mkaliiiiiiì kwenye mahusiano sugu.
 
Kwani uchumba ni nini sababu kuna watu wanajiita wachumba kumbe kuna watu wanaishi pamoja wanapata mtoto au watoto, ukimuuliza jibu nikwa huyo ni mchumba wangu sijauoa /ajanioa sasa mimi mtu wa bara sijui maana uchumba ni unaotwambia ni upi?kwani sisi wabara tunaamini mkiishi zaidi ya mwezi pande mbili za wazazi wakijua hiyo ni ndoa mmehoana kupitia maelezo ayo natamani kujua uchumba upi unaozungumzwa?.
uchumba mkuu ni pale ambopa hamjafika kwa wazazi/nyumba za ibada kurasimisha uhusiano wenu.
 
Mazoea na Insecurty ni mwiba mkaliiiiiiì kwenye mahusiano sugu.
exactly mtu huwezi kuwa na security miaka inakatika mnaishi kwa mazoea.wenzenu wanafunga ndoa.mnahudhuria.yenu haijulikani lini.
 
Wadada, hasa hawa wa 20's, wanatataka mwanaume angalau aliyejenga. Hivyo anaweza kukuambia tutafunga ndoa hata 2020 ili mume uwe umejipanga. Muda unavyozidi kwenda utasikia 2020 ni mbali, tufanye 2019, baadaye 2018, baadaye 2017 katikati.
Kumbuka, hapo unajipanga kujenga, huku unashinikizwa sijui uandike posa, bado masuala ya mahari, harusi zenye head ache.
Katika contradicting goals, uchumba lazima uchukue muda.
Ndiyo maana kuna mdau alisema alitoa lalamiko lake humu juu ya ugumu wa kupata mke.
 
Wadada, hasa hawa wa 20's, wanatataka mwanaume angalau aliyejenga. Hivyo anaweza kukuambia tutafunga ndoa hata 2020 ili mume uwe umejipanga. Muda unavyozidi kwenda utasikia 2020 ni mbali, tufanye 2019, baadaye 2018, baadaye 2017 katikati.
Kumbuka, hapo unajipanga kujenga, huku unashinikizwa sijui uandike posa, bado masuala ya mahari, harusi zenye head ache.
Katika contradicting goals, uchumba lazima uchukue muda.
Ndiyo maana kuna mdau alisema alitoa lalamiko lake humu juu ya ugumu wa kupata mke.
laiti mda ungekuwa unahitajika hivyo na hampeani huduma za wanandoa ningeelewa.lakini.uchumba wa sasa hivi bila kutiana mimba na kuzitoa ni aghlabu.
 
Back
Top Bottom