Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Nadhani hili halina formular, Mfano mimi nilianza uhusiano tangu wife yupo form 5 na tukajaoana baada ya yeye kugraduate ilichukua kama miaka 5 tukiwa kwenye relation..Japo kuna kuwa na changamoto zake mingi mno haswa mchumba anapoingia chuo usipokuwa makini utavunja uchumba ama upate ugonjwa wa presha..
Swali, mlikuwa mnalalana au ala?