Wadaiwa mikopo tuishitaki HESLB

Wadaiwa mikopo tuishitaki HESLB

mwisho wa siku watajilipa wenyewe huo ni upuuzi wa kuzalisha mkopo na hakuna makubaliano kama haya kwenye form zao mkuu
Ndio hivyo. mwisho wa siku hii bodi itakufa na ndio pale wenye uwezo TU ndio watakaosoma chuo kikuu
 
Mie nilikuwa chuoni nikilipiwa na Kampuni niliyokuwa nafanya kazi kila kitu,(mshahara wangu unaingia, ada nalipiwa na posho zoote kwa mujibu wa chuo) Nimekuja kushangaa naona jina langu kuwa 1994/95 nilikuwa nakopa! nilishangaa sana sana! anyway nawasubiri.
 
Mimi nakala ya mkataba ninao ,nalipa mpaka sasa kilicho nje ya mkataba. Ila sina namna, Mimi nipo tayari kulipa kabisa ila ningetamani tuende kimkataba
 
lipa wenzako wasome sasa kama waliokupa pesa HESLB kirefu chake unataka ujifanye hujui unakimbilia kwenye form na hizo form zilitolewa na idara ipi (naipenda nchi yangu lipa wenzako wasome )
Uwe una soma kwanza hoja ya mtu na kuilewa kabla huja Comment utumbo wako!!!

Mf. Board ya Pamba Tz.....ina lima Pamba au inatoa Pamba?
 
Wameanza kurekebisha,wameomba majina ya waajiriwa wote na kiwango wanachokatwa,leo nimesikia redioni
Itapendeza, upumbavu hatutaki. Ukope 7M afu ulipe 18M? Kwa Riba ipi hiyo??.

Bora hata penati ya 10% afu ina simama. Siyo deni kila siku lina kua.
 
Mtoa mada nakuunga mkono aisee
Ahsante. Tupande mbegu ya vugu vugu ili Board watoke usingizini. Maskini siyo mtaji wao.

Huyo JPM akamue Bandarini siyo Maskini sisi.
 
Mlipe tu aseh Si mlipata mkopo na mliomba Mkopo au mliomba ruzuku ,No matter what Lipeni mkopo na Mdogo wapate ,isije ikàfika mwezi wa kumi madogo wa nahangaika kupata mkopo kumbe nyie hamjalipa
Elewa mada siyo kuropoka tu.

Hakuna alie kataa kulipa.
 
WALISEMA UTALIPA UKIPATA KAZI TENA BILA RIBA, NDICHO NACHOFAHAMU MIMI,HALAFU HAWAKUSEMA UTALIPA KWA KUKATWA MSHAHARA NA WALA HAAWAKUANDIKA KIWANGO CHA KUKATA.

MWISHO,WAO WALISOMA BURE WASITUCHOSHE,TENA WAO HADI MISOSI WALIKUWA WANAPEWA.

HIVI SI WALIMGOMEA MWALIMU NYERERE PALE UDSM MIAKA HIYO HAWA ETI KWA SABABU WALIPEWA MKATE AMBAO HAUJAWEKWA SIAGI
Ha ha ha ha na sisi tuwanyooshe. Tuone huko Mahakamani.
 
Mie nilikuwa chuoni nikilipiwa na Kampuni niliyokuwa nafanya kazi kila kitu,(mshahara wangu unaingia, ada nalipiwa na posho zoote kwa mujibu wa chuo) Nimekuja kushangaa naona jina langu kuwa 1994/95 nilikuwa nakopa! nilishangaa sana sana! anyway nawasubiri.
Daaah...
Pole mkuu.

Hawa washikaji wamepiga hela za BOOM. Utakuta UDSM wameweka hewa 300; UDOM hewa 800, SAUT hewa 250, nk kufidia ili wasinyee ndoo ndio wana buni majina mapya na riba kedekede kwa watoto wa maskini.

Binafsi bila Mahakamani, sijajipeleka Loan Board hata siku moja, lasivyo wafuate makubaliano ya awali- niko tiyar kulipa hata kuanzia kesho. Na deni liwe 7m nilizo kopa nasiyo 18m!!
 
Mimi nakala ya mkataba ninao ,nalipa mpaka sasa kilicho nje ya mkataba. Ila sina namna, Mimi nipo tayari kulipa kabisa ila ningetamani tuende kimkataba
Mkuu huwezi nisaidia copy hata kwa picha?
 
kwa udom ada Dogo alikuwa analipiwa 300000*3=900000/=
boom & stationary 2000000*3 = 6000000/=
field 600000*2= 1200000/=
total ilitakiwa kuwa 8100000/=
sasa loan board wanamdai 14,500,000/=
huu ni zaid ya wizi
 
Ahsante. Tupande mbegu ya vugu vugu ili Board watoke usingizini. Maskini siyo mtaji wao.

Huyo JPM akamue Bandarini siyo Maskini sisi.
Kweli mkuu,,mi niko tayari kuchangia hiyo kesi na kuwashawishi jamaa zangu ambao ni mawakili na wanasheria watupe msaada ktk hili

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 
kwa udom ada Dogo alikuwa analipiwa 300000*3=900000/=
boom & stationary 2000000*3 = 6000000/=
field 600000*2= 1200000/=
total ilitakiwa kuwa 8100000/=
sasa loan board wanamdai 14,500,000/=
huu ni zaid ya wizi
Hata Benki tu haina riba ya hivyo!!

Si bora watu tukope Benki..
 
Pole sana!Yaani unapata bahati ya kukopa Milioni 20 halafu unalipa 27M tena ndani ya kipindi cha miaka 10 halafu huyu bado unalia lia?Umepata bahati ya kuwezeshwa kupata shahada ya kwanza,halafu anakuja na hoja za kitoto hivi na watu wanashangilia?Hivi hamjui Leo mtumishi akikopa 10M benki analipa zaidi ya 20 Kwa miaka mitano?Dawa ya deni ni kulipa,hoja zinazotolewa ni dhaifu sana zinaonesha hata elimu aliyonayo ni dhaifu kiasi gani!Hukopeshwi ili uendelee kupalilia umaskini bali uondokane nao ili uweze kulipa deni!
Kwani pesa tulizokopa si Ni zetu mkuu ? Sasa mbona unaita bahati ? Pesa si za wananchi mkuu
 
Back
Top Bottom