haichubui??????? ila inangarisha which is wrong
ile inatoa ngozi taratiiibu hivyo unajichubua taratibuuu subir matokeo baada ya miaka kadhaa
nakupinga kwani kusinga mwili kwa karanga au machicha ya nazi unajichubua mbona unang'aa.
haichubui??????? ila inangarisha which is wrong
ile inatoa ngozi taratiiibu hivyo unajichubua taratibuuu subir matokeo baada ya miaka kadhaa
Kwa nini usiweke nilu au chuping wewe si tofari?
hapana aichubui ina kupa mg'ao unaitakiwa kuea nao mi ni chocolate colour na nilikua napaka mafuta ya samona na sasa napaka pamoja na hiyo.iko vizuri ata paja linawaka kama uso.sio mwanamke paja au mgongo umesinyaa.but no kuchubua labda fake sjui.
sawa endelea kutumia mimi situmii kemikali yoyote lakini nina mwili lain,na unangaa siangaiki na mafuta mamiii
nunua olive oil ngozi inakua nzuri sanaaa unapaka kila mahali aiseee hadi ukijishika unahisi raha
haina kemikali yoyote hata kuinywa waweza
Wewe waambie ukweli wenzio yale mafuta ya mkia wa kondoo wanayopaka wamaasai wanakuwa soft acha uchoyo lol.
Yaallah! kwa idhini yako naomba kuona hata bega.
niletee kwanza banio la ugali
Kufeli kwa Mbowe kwako wewe kudos? My grandmother!! Huoni hilo baraza lenu la mawaziri, wabunge wakuu wa mikoa wote wamegushi vyeti? Sembuse na kufeli? Kwani Tanzania inaongozwa na watu waliopasi? Mwinyi alipasi mtihani gani; njiwa wewe?
Dah., hiyo kalihapana aichubui ina kupa mg'ao unaitakiwa kuea nao mi ni chocolate colour na nilikua napaka mafuta ya samona na sasa napaka pamoja na hiyo.iko vizuri ata paja linawaka kama uso.sio mwanamke paja au mgongo umesinyaa.but no kuchubua labda fake sjui.
Huyo atakuwa kenge wa jangwani, kuna kenge ziwa victoria ngozi zinameremeta, kama bado uko mwanza tembelea bwiru girls ziwani utawaona kibao.Mmmh... kuna watu wana ngozi km za kenge hata wakipaka Queen Eliza inadunda!
Huyo atakuwa kenge wa jangwani, kuna kenge ziwa victoria ngozi zinameremeta, kama bado uko mwanza tembelea bwiru girls ziwani utawaona kibao.
nunua olive oil ngozi inakua nzuri sanaaa unapaka kila mahali aiseee hadi ukijishika unahisi raha
haina kemikali yoyote hata kuinywa waweza