haina lolote,eti wema alipiga nayo picha
Usidanganyike kirahisi, ulaini wa ngozi ni asili ya mtu. Tangu niko form two napaka Rays watu walikuwa wananiuliza natumia mafuta gani, nikanzz mussoline cocoa butter, maswali hayo hayo. Kiasi kwamba wengine nikiwatajia wanahisi naficha, so usitumie mfano wa mtu mmoja ndio ukasifia product.Hahahahaaa ni nzuri org ni gali zaidi kuna mtu anaitumia huu mwaka km 25 ni soft balaa na ang'avu sijawahi mwona na kipele wala harara ni nzuri kwa kweli sema tatizo hela ikiisha inabidi ujikongoje tena kuinunua haichubui ila inakufanya unakuwa mwaaaa.
Hahahahaaa ni nzuri org ni gali zaidi kuna mtu anaitumia huu mwaka km 25 ni soft balaa na ang'avu sijawahi mwona na kipele wala harara ni nzuri kwa kweli sema tatizo hela ikiisha inabidi ujikongoje tena kuinunua haichubui ila inakufanya unakuwa mwaaaa.
Hahahahaaa ni nzuri org ni gali zaidi kuna mtu anaitumia huu mwaka km 25 ni soft balaa na ang'avu sijawahi mwona na kipele wala harara ni nzuri kwa kweli sema tatizo hela ikiisha inabidi ujikongoje tena kuinunua haichubui ila inakufanya unakuwa mwaaaa.
Hakuna lolote.....mimi natumia kitu cha Vaseline aloe fresh buku 5 tu lakini sina harara wala nini.
Hehe wajinga ndo waliwao...kuna watu ngozi zao hazinaga shukrani...hata utumie nini..mimi natumia clere cocoa butter ziko ndogo 2500..kubwa 5000 lol. tangu niko form five...nikiwaambia watu hawaamini wanahisi nawaficha
Kama mpaka "tofali" umo kwenye list ya warembo wenye ngozi nzuri...basi sinunulii mtu tena hiyo queen elizabeth.
haina lolote,eti wema alipiga nayo picha
natumia Olive oil and ninamuonekano mzuri
hiyo qeen elizabeth ni jina lingine jipya la caro lyt
Hehe wajinga ndo waliwao...kuna watu ngozi zao hazinaga shukrani...hata utumie nini..mimi natumia clere cocoa butter ziko ndogo 2500..kubwa 5000 lol. tangu niko form five...nikiwaambia watu hawaamini wanahisi nawaficha