kivyako JF-Expert Member Feb 2, 2012 14,341 12,045 Apr 18, 2012 #1 Uwa najiuliza hawa wadada wanaoscrub nyuso za vidume na kushika ndevu uwa hawapati hisia zozote?
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,577 Apr 18, 2012 #2 kumbe na wewe ni mdau wa baber shop
kivyako JF-Expert Member Feb 2, 2012 14,341 12,045 Apr 18, 2012 Thread starter #3 Haswaa! tunaenda kupunguza uzee, mvi kichwani, then mascrub
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,165 Apr 18, 2012 #4 utapata hisia kwa kushika steel wire????
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,938 Apr 18, 2012 #5 kivyako said: Uwa najiuliza hawa wadada wanaoscrub nyuso za vidume na kushika ndevu uwa hawapati hisia zozote? Click to expand... kati ya sikio na kile kipamba cha kuchokonolea sikio (cotton bud) kipi kinahisi raha?
kivyako said: Uwa najiuliza hawa wadada wanaoscrub nyuso za vidume na kushika ndevu uwa hawapati hisia zozote? Click to expand... kati ya sikio na kile kipamba cha kuchokonolea sikio (cotton bud) kipi kinahisi raha?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,165 Apr 18, 2012 #6 mshikio wa cotton bug. watu8 said: kati ya sikio na kile kipamba cha kuchokonolea sikio (cotton bud) kipi kinahisi raha? Click to expand...
mshikio wa cotton bug. watu8 said: kati ya sikio na kile kipamba cha kuchokonolea sikio (cotton bud) kipi kinahisi raha? Click to expand...
munisijo JF-Expert Member Apr 10, 2012 1,109 922 Apr 18, 2012 #7 Wale madada noma, ndio wapo kazn...lakn kiukwel sometimes sna hamu nao!Wana visa ile mbaya yaan... Anyway, sku hz nmewajulia, huwa naenda na mrembo wangu pembeni..wote wnatia heshima na adabu!
Wale madada noma, ndio wapo kazn...lakn kiukwel sometimes sna hamu nao!Wana visa ile mbaya yaan... Anyway, sku hz nmewajulia, huwa naenda na mrembo wangu pembeni..wote wnatia heshima na adabu!
raybse Senior Member Oct 22, 2010 104 14 Apr 18, 2012 #8 Hahahhahahahahaaaha huwa wanatoa gud tyme sanaa kwa kweli!!
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Apr 18, 2012 #9 yeye yupo kazini hisia zitoke wapi?