Wadada Wa Bongo Mnaweza hii MAMBO?

Wadada Wa Bongo Mnaweza hii MAMBO?

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
534010_471498542893824_252285151_n.jpg


559062_471491896227822_2033882021_n.jpg



UP DATE:
KUMBE WADADA WA BONGO WANAWEZA, HONGERA ZENU

LEO NOVEMBER 12, 2012


542764_379726032108115_1170463683_n.jpg
 
siyo kila mtu anaweza hata huko waliko hao akina dada isipokuwa tu wale wenye mazoezi. hivyo hata wabongo wanaweza kama watafanya mazoezi
 
Vitambi vya chipsi waviache wapi, kitimoto na nyama choma mazee hahaah
 
Bahati mbaya mie ni mbibi wa bongo sidhan kama naiweza hiyo!!
 
Bahati mbaya mie ni mbibi wa bongo sidhan kama naiweza hiyo!!

Dah samahani bibi kumbe upo,shikamooo bibi,babu yupo mzima? Ayo ndo tunafanya wajukuu zenu siku hizi wala msiwe na stress kawaida tu..
 
labda enzi za "kibisa culture troupe"
 
Back
Top Bottom