Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Valentina tunaongelea yule ambaye ana manjonjo mpk anakera. Mara alambe ass hole, mara aingize ulimi kwenye pua, mara ajikunje kama sungura na kuiweka K juu kama kofia,, mara aichomoe dushe toka ukeni kwake na kuiweka mdomoni kwake bila hata kuiosha, mara atake kula denda baada ya hapo.

Huyu hafai kuwa mke. Kila kitu mtu anapaswa kuwa na kiasi. Utamsifu kuwa anayajua mapenzi, lkn mnasahau kuwa amefundishwa kwa practical na wajanja,
[emoji23][emoji23][emoji23]kuiweka k juu kama kofia umenifanya nicheke sana
 
Asante kwa taarifa. Swahiba hili file nilikuachia vipi limefikia wapi?

Cc Asprin
Hili file alikuwa anashughulika nalo kijana Bonny

Ila kulikuwa na taarifa kuwa Paprika bado ako bikra. Sasa hizi taarifa za kuzimisha jibaba zimeleta utata sana ofisini. Hebu ngoja niendelee na mchakato wa upembuzi yakinifu
 
Mimi mwanaume aliwai zimia akati tupo doggy!!! ile anamwaga nikasikia anaunguruma akadondoka... Niliogopa nikamwagia tumaji nbaada ya dakika kadhaa akazinduka yuko hoi... Ikatokea kama mara tatu ivi nikamwambia kaka samahani, sitaki kesi ya mauaji!!!
Najaribu ku-imagine utamu ulionao cpati picha, nmekutamani bure paprika!
 
Nikweli kwani Mamb kama Ayo Ukiyaendekeza,Mwisho wasiku "Kutokuolewa Nakukosa Kizazi
 
Mimi mwanaume aliwai zimia akati tupo doggy!!! ile anamwaga nikasikia anaunguruma akadondoka... Niliogopa nikamwagia tumaji nbaada ya dakika kadhaa akazinduka yuko hoi... Ikatokea kama mara tatu ivi nikamwambia kaka samahani, sitaki kesi ya mauaji!!!
Na mimi nizimishage basi.
 
Huko kuolewa siku hizi kuna masharti zaidi ya masharti ya kukopa Bank of Africa khaaaa, excuse nyingi sio waoaji hawa.
Mnawahangaisha wadogo zetu sio waoaji nyie. Mkipata watu walioridhika na nyie oleweni kama hamjapata acheni, kula tu ndio lazima mengine hiyari. Sie wengine sijui hata tuliolewa kwasababu gani, ila nafikiri lililo kuu lilikuwa Upendo.

Yote hayo ni kukosa kujiamini tu, mnapenda kuwadidimiza wanawake wawe wanyonge ili kuboost your self esteem. Wanaume jifunzeni kuwa Wanaume.

Muda mwingine huwa nawashukuru sana wakwe zangu kwakunilelea mwanaume mwenye Confidence za ajabu, Mtu aliyesema nataka uwe mke wangu tu mengine yote yalikaa kwenye mstari automatically!
 
Wanaume wanaompinga mleta mada bado akili zenu hazijawaza ndoa na kutulia chini kuanza maisha.
Bado mpo kwenye kuwaza performance ya kitandani ndo kila kitu kwa mwanamke.

Mauno ya kitandani hayalei watoto wako,,hayawapi wanao maadili mema,hayakupikii chakula,hayakuandalii mahali pa kulala upate kupumzika wala hayakuandai wewe unapotaka kutoka.

Kama ni hivo wanawake wengi wangekua walio wazuri kitandani washaolewa,magogo yamebaki yanahangaika kujifunza mautundu.

Ndoa is beyond viuno kitandani..
Kwani mtu kutulia na kuanza maisha ndo kunamfanya asiwe fundi kitandani, waliompinga mleta mada hawajasema mwanamke fundi ndio wife material, kama ambavyo mwanamke anaweza kuwa gogo na bado asifae kuoa. Kuwa mlezi mzuri wa familia hakuhusiani na ufundi na ugogo.
 
Mimi mke wangu wa kwanza niliamua kumuita shekhe tukatia ubani baada ya kunipa 69 halafu tukahamia kwenye position nyingine.
 
Huko kuolewa siku hizi kuna masharti zaidi ya masharti ya kukopa Bank of Africa khaaaa, excuse nyingi sio waoaji hawa.
Mnawahangaisha wadogo zetu sio waoaji nyie. Mkipata watu walioridhika na nyie oleweni kama hamjapata acheni, kula tu ndio lazima mengine hiyari. Sie wengine sijui hata tuliolewa kwasababu gani, ila nafikiri lililo kuu lilikuwa Upendo.

Yote hayo ni kukosa kujiamini tu, mnapenda kuwadidimiza wanawake wawe wanyonge ili kuboost your self esteem. Wanaume jifunzeni kuwa Wanaume.

Muda mwingine huwa nawashukuru sana wakwe zangu kwakunilelea mwanaume mwenye Confidence za ajabu, Mtu aliyesema nataka uwe mke wangu tu mengine yote yalikaa kwenye mstari automatically!
ndio maana kila siku nawaambia wanawake,
"Usikubali kuolewa ila Oaneni"
Huu msemo una maana kubwa kwa mtu mwenye mazingatio, wangesimama thabiti mada kama hizi tusingeziona,
heshima ingekuwepo.

Ndoa ni lazima kwa kila mmoja wapo, Me au Ke, vipi ionekane kama Ke ndio mwenye hitaji sana hata akubali kudhalilika kisa ndoa,

Kuna shida mahali, they have to fix it.
 
Mkiangalia movie ya Coming to Amerca mtaona vile Eddy murphy alimkataa yule mwanamke wa kwanza kwa sababu gani hadi kuamua kusafiri na akampenda Lisa kwa sababu gani, mkizingatia hayo wanawake wa kitanzania basi hamtayumbishwa tena na hao wanaume wasiojielewa na mfume dume utaishia hapo.
 
ndio maana kila siku nawaambia wanawake,
"Usikubali kuolewa ila Oaneni"
Huu msemo una maana kubwa kwa mtu mwenye mazingatio, wangesimama thabiti mada kama hizi tusingeziona,
heshima ingekuwepo.

Ndoa ni lazima kwa kila mmoja wapo, Me au Ke, vipi ionekane kama Ke ndio mwenye hitaji sana hata akubali kudhalilika kisa ndoa,

Kuna shida mahali, they have to fix it.
Preach sisy preach! Watu hawajui hata kwanini wanaoana ndio hawa wanaitukanisha hii taasisi kila siku.
 
Preach sisy preach! Watu hawajui hata kwanini wanaoana ndio hawa wanaitukanisha hii taasisi kila siku.
Bint kakaa kwao kashika tama, anakuja bwana anamsemesha na kutoa ahadi ya kuleta posa, ahadi tu yani, kishakurupuka kaenda kwa bwana, kufua yeye, kupika yeye, mama mkwe kaumwa mpeleka vyakula hospital yeye, wifi anamtoa mwanae arobain yeye mpeleka masanduku, mwanamke anajipa tashititi utasikia oooh nabembeleza ndoa,

mwisho wa siku kamuona Ever huko hajui kupika wala kuosha vyombo, madeko yake tu yamemchanganya anakuja kumuoa, binti anaachwa solemba, na ahadi haikukamilika.
 
Bint kakaa kwao kashika tama, anakuja bwana anamsemesha na kutoa ahadi ya kuleta posa, ahadi tu yani, kishakurupuka kaenda kwa bwana, kufua yeye, kupika yeye, mama mkwe kaumwa mpeleka vyakula hospital yeye, wifi anamtoa mwanae arobain yeye mpeleka masanduku, mwanamke anajipa tashititi utasikia oooh nabembeleza ndoa,

mwisho wa siku kamuona Ever huko hajui kupika wala kuosha vyombo, madeko yake tu yamemchanganya anakuja kumuoa, binti anaachwa solemba, na ahadi haikukamilika.[/QUOTE

Hili nalo neno, wanaume sisi huwa hatueleweki kwa kweli. Mnaweza jitoa kwetu kwa kila ila baadhi yetu twajifanya hatuoni na kuoa kwengine isitoshe huko tunapooa tukikuta ndivyo twaanzisha yetu yalioyomo vichwani mwetu.
 
Back
Top Bottom